nmecheka sana kijana....kama utakua na zile za kutabasamu pia naomba unitumie kwani nazihitaji sana kwa kipindi hiki cha nzi wengi ambao ni dalili ya mvua za masika zianzazo april.
Da kesho naenda school wale wadau wangu pole kwa kipindi ambacho ntakuwa sipo najua mtanimiss sana hila siku mojamoja nikiwa naingia kwenye mtandao ntakuwa nawatumia kama unapenda kujua jinsi ya kupata video kwenye mtandao nitumie mesage namimi ntakutumia email
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.