Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,779
- 14,311
Binafsi nimehitimu shahada yangu ya kwanza mwaka 2012 na kupata ufaulu murua tu wa upper second, ila hadi sasa nafanya shughuli zangu za kawaida tu kutokana na ugumu wa kupata ajira kutokana na elimu yangu.
Ila binafsi nina miaka 26, naamini bado kijana sana na ninahisi nina appetite na morali wa kutaka kuendelea na hatua ya masters. nimesikia mara kadhaa kuhusu udhamini wa masomo ughaibuni lakini hadi sasa sijakutana na waliopata bahati hiyo hili na mimi niweze kusurvive na maneno mawili matatu kutoka kwao juu ya kipi muhimu kuwa nacho? na mengineyo muhimu.
karibuni wandugu tujadili na kutafakari pamoja!!
asanteni.
Ila binafsi nina miaka 26, naamini bado kijana sana na ninahisi nina appetite na morali wa kutaka kuendelea na hatua ya masters. nimesikia mara kadhaa kuhusu udhamini wa masomo ughaibuni lakini hadi sasa sijakutana na waliopata bahati hiyo hili na mimi niweze kusurvive na maneno mawili matatu kutoka kwao juu ya kipi muhimu kuwa nacho? na mengineyo muhimu.
karibuni wandugu tujadili na kutafakari pamoja!!
asanteni.