Hisha Sorel
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 192
- 140
Edit: Inaonekana wapinzani wenyewe dont know direction ya kisiasa ya vyama vyao kwani:
1. wanasahihisha lugha kwa typos za mwandishi (michapio) midogo midogo bila sababu
2. wanatukana mwandishi
hii ni sign tosha ya mtu asiejua jibu jamii forum (personal attacks or ad hominem
nawapa pole in advance
Hakuna kitu chepesi kama kuelewa msimamo wa vyama kwa nchi za Magharibi: siasa za kushoto na kulia, matumizi vs kubana matumizi, uhamiaji huru vs vizuizi vya uhamiaji, ubeberu vs ujamaa. Yani ni simple!
Lakini Tanzania hili ni swali ngumu kwani: mtazamo wa wakubwa wa vyama vya upinzani huwa haufanani na unabadilika kulingana na mazingira.
Tundu Lissu amepokea tuzo kutoka conservative organisations wakati: anataka kutoa sheria inayopinga ushoga, anataka kuongeza spending kwenye huduma za jamii.
Mh Zitto Kabwe anaonekana ni supporter wa left leaning policies, Maalim seif anaonekana ni Zanzibar Nationalist mwenye msimao mkali kwenye maswala ya kijamii (social conservative).
KIKWELI NDUNGU ZETTU SIWAELEWI
SO HII NDO CHANCE KWA WALE WATAALAM WA SERA KUTOA BRIEFING.
SERA ZA CHAMA CHAKO CHA UPINZANI NI ZIPI KWENYE:
1. ELIMU
2. JAMII (USHOGA, HAKI ZA WANAWAKE, UHURU NA UTAMADUNI)
4. KIUCHUMI
5. UHAMIAJI NA MAMBO YA NJE
6. USALAMA WA TAIFA
7. MIUNDOMBINU
NK.
1. wanasahihisha lugha kwa typos za mwandishi (michapio) midogo midogo bila sababu
2. wanatukana mwandishi
hii ni sign tosha ya mtu asiejua jibu jamii forum (personal attacks or ad hominem
nawapa pole in advance
Hakuna kitu chepesi kama kuelewa msimamo wa vyama kwa nchi za Magharibi: siasa za kushoto na kulia, matumizi vs kubana matumizi, uhamiaji huru vs vizuizi vya uhamiaji, ubeberu vs ujamaa. Yani ni simple!
Lakini Tanzania hili ni swali ngumu kwani: mtazamo wa wakubwa wa vyama vya upinzani huwa haufanani na unabadilika kulingana na mazingira.
Tundu Lissu amepokea tuzo kutoka conservative organisations wakati: anataka kutoa sheria inayopinga ushoga, anataka kuongeza spending kwenye huduma za jamii.
Mh Zitto Kabwe anaonekana ni supporter wa left leaning policies, Maalim seif anaonekana ni Zanzibar Nationalist mwenye msimao mkali kwenye maswala ya kijamii (social conservative).
KIKWELI NDUNGU ZETTU SIWAELEWI
SO HII NDO CHANCE KWA WALE WATAALAM WA SERA KUTOA BRIEFING.
SERA ZA CHAMA CHAKO CHA UPINZANI NI ZIPI KWENYE:
1. ELIMU
2. JAMII (USHOGA, HAKI ZA WANAWAKE, UHURU NA UTAMADUNI)
4. KIUCHUMI
5. UHAMIAJI NA MAMBO YA NJE
6. USALAMA WA TAIFA
7. MIUNDOMBINU
NK.