Utakataa mdomoni ila practical ndio hivyo ni sawa na kusema hakuna gharama yeyote ukiwa na mtoto, au ukiwa na Mgeni utatumia unga robo kama unavyotumia kila siku. ni łazika kuweka akili kwenye uhalisia na sio hisiaIla sio kila mwanamke mzuri anataka gharama kubwa kaka! Hapo hapana siwezi kukupata.