Wale wadada 'wanaojisikia' sana vyuoni

Ila sio kila mwanamke mzuri anataka gharama kubwa kaka! Hapo hapana siwezi kukupata.
Utakataa mdomoni ila practical ndio hivyo ni sawa na kusema hakuna gharama yeyote ukiwa na mtoto, au ukiwa na Mgeni utatumia unga robo kama unavyotumia kila siku. ni łazika kuweka akili kwenye uhalisia na sio hisia
 
Mkubalie ombi lake,

Kisha mvue nguo zote abaki uchi Kama alivyozaliwa

Kisha,
Kaa chini, sikitika Sana, toa chozi JICHO Moja na piga moyo konde.

Kisha gafla,
vaa nguo zako ondoka apo haraka Sana.

BAADA YA HAPO LETE MREJESHO
tena apige nyeto hapo hapo na amwagie chini af ateme mate
 
Yamotooo
JamiiForums-608535277.gif
 
Habarini.

Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.

Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.

Kama nakosea mniambie.

Ni kwa nia njema tu

mkuu kula kwanza mzigo ndo kisha uanzee kuwaza hayo mengine.
 
Huna jeur hyo...unapuyanga tu .yaan dem mkali aje akwambie anakupenda..acha chai
Tupo tofauti kaka, wengine sio mafisi ni gentlemen! Hatuna hizo mambo za kishamba, kwetu utu na ubora wa kitu ni kipaumbele, hatuchukui chukui wanawake. Ila kwa watu kama wewe wenye dhiki ya wasichana hamutakiwi kuchagua wala KUJARIBU KUCHAGUA.
 
Wakati niko chuoni hivo hivo kimasihara nilipata friends with benefit. Nilienjoy sana maisha ya chuo.

Sikua na stress ya kuwa na girlfriend. Lakini pia sikua na stress za kipochi manyoa.

Mpelekee moto.
Hebu nieleze vizuri bro! Sijakuelewa hapo. Rudia kaka tafadhali.
 
Habarini.

Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.

Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.

Kama nakosea mniambie.

Ni kwa nia njema tu

Yan pisi kali ikupende ivi ivi
 
Tupo tofauti kaka, wengine sio mafisi ni gentlemen! Hatuna hizo mambo za kishamba, kwetu utu na ubora wa kitu ni kipaumbele, hatuchukui chukui wanawake. Ila kwa watu kama wewe wenye dhiki ya wasichana hamutakiwi kuchagua wala KUJARIBU KUCHAGUA.
Kawadanganye wajinga wenzio..wenzio tulikua huko mavyuon miaka7 iliyopita..tena vyuo vikubwa vya nchi hii..mademu kama wote.na tulikua na ma boom100%...plus ni ma handsome wa kwelkwel..ila hatujawai ambiwa nakupenda ma mwanamke mzur anaejiskia...yaan kabisa slay queen wachuo anaejijua ni mzur akufate akwambie nakupenda!.hahahhaa...dogo..hebu kapige nyeto kwanza
 
Back
Top Bottom