Wale wacheza kamari CASSINO tukutane hapa

Duh mi nimekuwa nikicheza haya mabonanza ya mchina. Sometimes nakula around laki 1 had mbili kwa mtaji wa less than 20k. Ila kuna kipind limekuwa likinifulluliza na kunila. Nikijumlisha kwa mwezi najikuta nimeliwa 1m had 2m. Sasa nmeamua kuliacha kabisa maana haiwezekeni nibangaize pesa uko alafu mwisho wa siku nampelekea mchina na nashindwa fanya maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh mi nimekuwa nikicheza haya mabonanza ya mchina. Sometimes nakula around laki 1 had mbili kwa mtaji wa less than 20k. Ila kuna kipind limekuwa likinifulluliza na kunila. Nikijumlisha kwa mwezi najikuta nimeliwa 1m had 2m. Sasa nmeamua kuliacha kabisa maana haiwezekeni nibangaize pesa uko alafu mwisho wa siku nampelekea mchina na nashindwa fanya maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole saana bonanza sio mchezo ni uchafu,hauwezi kuwin zaid ya laki2 kwa mpigo.

Lakini kasino unaweza win hata m10 kwa mara 1 kwa elfu 10 ikikubali ila inategemea na mchezo wako ni aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenu wana bodi hili liwe jukwaa kwa wacheza roullete,slots,black jack n.k tupeane story.


Kimsingi mimi ni mhanga wa cassino na mchezo wangu mkuu ni roullete,hua nacheza cassino za hapa Dar,Arusha,Mwanza na Nairobi.

Katika maisha yangu ya kamari hii pesa kubwa niliowahi kupata kwa mkupuo ni milioni 27 kwa kianzio cha laki 1 na nikamalizia nyumba iliobaki nikanunua harrie tako la nyani.

Pia nishawahi kuliwa milioni 8 usiku 1

Kama haitoshi pesa zangu zinaishia kwenye uraibu huu hatari.


Roullete ni mchezo hatari ambao kila baada ya sekunde 33 unaliwa au unakula.


Katika pitapita zangu nishawahi kushudia mtu ameliwa milion 350 kwa siku 1

Pia nishawahi shudia mtu kaja kununua roli pesa ikaliwa cassino milioni 45.


Kama haitoshi kuna dada mmoja mfanyabiashara wa Tanzanite aliliwa milioni 84 akataka kuweka bond gari lake na alikua kwenye vikao vya ndoa yake hali iliopelekea kuahirisha ndoa juu ya kamari.


Kwa haya na mengineyo karibuni tujadili mstakabari wa hili janga.

Upande wangu naomba serikali ufutilie mbali aina hii ya michezo.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia mdau wa hizo gambling
But maeneo nilipo
Wadau wenye kadi hula pesa mingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
_20181230_192209.JPG
_20181230_192143.JPG
wale wa roullete sio lazima uende casino unaweza kujilipua online kama hapo direct from NEVADA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom