Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,582
Umejuaje kwanza? Aisee humu JF kuna siri hazipaswi kutolewa wazi, unaweza ukajikuta unajulikana na members kibao wa JF.
Umejuaje kwanza? Aisee humu JF kuna siri hazipaswi kutolewa wazi, unaweza ukajikuta unajulikana na members kibao wa JF.
duh kama ndo Mimi nakwenda kwa meneja kumuomba msamaha aniludishie pesa yangAlijilipua mle jmall le grande casino na hela ya mme wake 60m ikapigwa yote...mume akanywa sumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Remember rule of the game always house win!Nlitengenezaga kaformula kakuwala premier na wale mafrasi wao hawatakuja kunisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Achananae , hao ni wazee wa Ligi zisizo na tijaHujaelewa,hoja yako iko sahihi
Ila mimi nilienda na kianzio cha laki 1 mpaka nafunga siku nina 27m.
Sent using Jamii Forums mobile app
hio mzeeNlitengenezaga kaformula kakuwala premier na wale mafrasi wao hawatakuja kunisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena aiweke hapa na sio aanze utapeli wa kuitana PMFormula gan
hio mzee
Inaitwa pocho pocho mafodidoTena aiweke hapa na sio aanze utapeli wa kuitana PM
Pole sana,meneja hana cha kufanya,zinaingia kwenye mfumo ambao ni computurised hatari.duh kama ndo Mimi nakwenda kwa meneja kumuomba msamaha aniludishie pesa yang
Ulifanikiwa?Nlitengenezaga kaformula kakuwala premier na wale mafrasi wao hawatakuja kunisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole saana bonanza sio mchezo ni uchafu,hauwezi kuwin zaid ya laki2 kwa mpigo.Duh mi nimekuwa nikicheza haya mabonanza ya mchina. Sometimes nakula around laki 1 had mbili kwa mtaji wa less than 20k. Ila kuna kipind limekuwa likinifulluliza na kunila. Nikijumlisha kwa mwezi najikuta nimeliwa 1m had 2m. Sasa nmeamua kuliacha kabisa maana haiwezekeni nibangaize pesa uko alafu mwisho wa siku nampelekea mchina na nashindwa fanya maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia mdau wa hizo gamblingKwenu wana bodi hili liwe jukwaa kwa wacheza roullete,slots,black jack n.k tupeane story.
Kimsingi mimi ni mhanga wa cassino na mchezo wangu mkuu ni roullete,hua nacheza cassino za hapa Dar,Arusha,Mwanza na Nairobi.
Katika maisha yangu ya kamari hii pesa kubwa niliowahi kupata kwa mkupuo ni milioni 27 kwa kianzio cha laki 1 na nikamalizia nyumba iliobaki nikanunua harrie tako la nyani.
Pia nishawahi kuliwa milioni 8 usiku 1
Kama haitoshi pesa zangu zinaishia kwenye uraibu huu hatari.
Roullete ni mchezo hatari ambao kila baada ya sekunde 33 unaliwa au unakula.
Katika pitapita zangu nishawahi kushudia mtu ameliwa milion 350 kwa siku 1
Pia nishawahi shudia mtu kaja kununua roli pesa ikaliwa cassino milioni 45.
Kama haitoshi kuna dada mmoja mfanyabiashara wa Tanzanite aliliwa milioni 84 akataka kuweka bond gari lake na alikua kwenye vikao vya ndoa yake hali iliopelekea kuahirisha ndoa juu ya kamari.
Kwa haya na mengineyo karibuni tujadili mstakabari wa hili janga.
Upande wangu naomba serikali ufutilie mbali aina hii ya michezo.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
duh kama ndo Mimi nakwenda kwa meneja kumuomba msamaha aniludishie pesa yang
Wapi hukoMimi pia mdau wa hizo gambling
But maeneo nilipo
Wadau wenye kadi hula pesa mingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app