wale wa physics pitieni hapa munipe jibu

wale wa physics pitieni hapa munipe jibu

Namba tatu itajaa kwanza!!! Ukiangalia vizuri jinsi hizo tube za kwenda kwenye namba nne ni ngumu sana namba nne kujaa labda kama ukiwa na pumping mechanism kutoka namba 2 au 1!!!

Refer capillary action...gravitational forces, hydrostatic na hydrodynamic forces...
Izo tube ni kubwa sana. Mimi bado nipo na msimamo wangu ule ule, 3 na 4 zitajaa kwa wakati mmoja.
 
Liquid pressure find its own level. Hivyo 3 na 4 ziko same level zitajaa kwanza. Swala la vi mirija kuangalia juu si tatizo. Pressure yenyewe ndo itapump kwenye tubes.
Point yako kama ina make sense mkuu!!
 
namba 4 itajaa fasta mana maji yanatoka namba tatu kuja nne the 3 itafaata kuja haina dependence ya pressure
 
Liquid pressure find its own level. Hivyo 3 na 4 ziko same level zitajaa kwanza. Swala la vi mirija kuangalia juu si tatizo. Pressure yenyewe ndo itapump kwenye tubes.
Exactly
 
which-one-will-be-full-first11.jpg
 
Inategemea inaposemwa kujaa ni kuwa level gani... juu kabisa ya beaker kabla ya overflow au sehemu ipi?...
 
Back
Top Bottom