Wale wa nacte

Wale wa nacte

Joined
Sep 22, 2014
Posts
58
Reaction score
3
Mbona kwenye profile yangu hasa kwenye vyuo nilivyochagua isipokuwa kimoja capacity vinaonesha "0"???? na hicho kimoja capacity yake inabadilika badilika? maana mara ya kwanza capacity ilikuwa 100 baadae ikachange kuwa 94 ikarudi 100 na sasa 90! Hivi ni kwann inakuwa hivyo na inamaana gani???????
 
mbona selection zishatoka mkuu, wewe bado unaangaika na hayo macapacity¤!
 
Aisee cjui inakuaje kwa sisi wa diploma mbona kama form six wanapendelewa sana kuliko diploma nafasi zikijaa ndo wanakumbukwa wa diploma ina uzi sana yaan unaambiwa admission capacity ni 0.
 
Aisee cjui inakuaje kwa sisi wa diploma mbona kama form six wanapendelewa sana kuliko diploma nafasi zikijaa ndo wanakumbukwa wa diploma ina uzi sana yaan unaambiwa admission capacity ni 0.[/QUOTE


Hakuna upendeleo kila watu wana nafasi zao hakuna atakaye kosa chuo
 
Back
Top Bottom