Wale wa Mwanza njooni hapa

Wale wa Mwanza njooni hapa

G55-MGODI

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
1,353
Reaction score
1,825
Kwa wale mnaoishi mwanza, napenda kujua mambo yafuatayo.

Naweza kupata eneo kubwa la kununua atleast heka moja na nusu kwa ajili ya project ya ufugaji? Liwe mbali na makazi ya watu pia huduma ya maji na umeme iwepo( umeme sio lazima? Maji yawepo( muhimu)
Natanguliza shukrani wakuu
 
kamanga feri pale lipo zuri tu ila unavuka na meli kama kigamboni
Pale ni pazuri tatizo ndio hilo kuvuka daily kwenda kuhudumia mifugo, nataka atleast liwe ndani ya mwanza bila kuvuka maji
 
Kajaribu uone kama utapata maeneo upande huo..
Kwanza kuna tetesi kuwa ni eneo la viwanda kuanzia pale Nyashishi(darajani) kwenda huko usagara.
Ndo maana nkaleta huu uzi, kama kuna mtu yupo usagara na anauza eneo ajitokeze hapa
 
Nimesafiri na kurudi sitegemei kurudi hivi karibuni ila kuna jamaa yangu ana eneo kubwa sehemu za mahina karibu na kanisa la wasabato
 
Nimesafiri na kurudi sitegemei kurudi hivi karibuni ila kuna jamaa yangu ana eneo kubwa sehemu za mahina karibu na kanisa la wasabato
Lina ukubwa gani na analiuza bei gani limepimwa hebu changamkia hayo majibu mkuu
 
Kuna buswelu,kuna Kishiri kuna kisesa ,buhongwa na usagara sema unataka wapi
Mimi nataka maeneo ya kiseke au kiloleli nusu heka kama imepimwa na IPO kwenye Huduma muhimu kama bara ara na UMEME na maji tuwasiliane
 
Back
Top Bottom