G55-MGODI
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,353
- 1,825
Kwa wale mnaoishi mwanza, napenda kujua mambo yafuatayo.
Naweza kupata eneo kubwa la kununua atleast heka moja na nusu kwa ajili ya project ya ufugaji? Liwe mbali na makazi ya watu pia huduma ya maji na umeme iwepo( umeme sio lazima? Maji yawepo( muhimu)
Natanguliza shukrani wakuu
Naweza kupata eneo kubwa la kununua atleast heka moja na nusu kwa ajili ya project ya ufugaji? Liwe mbali na makazi ya watu pia huduma ya maji na umeme iwepo( umeme sio lazima? Maji yawepo( muhimu)
Natanguliza shukrani wakuu