Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

Mkuu naomba frqnce za hii kitu,nina kisimbuzi cha zuku hope itafanya kazi
Kumbuka Zuku Decoder ipo katika Pay Tv Subscription nadhani kisheria ni makosa kutumia decoder hiyo ikiwemo Azam, Ting, Startimes, n.k. Hivyo kama unapenda fta channels tatuta receiver ya FTA na dish kubwa upate kilicho cha halali!
 
Habari wajuvi mm niko dar nina receiver yng ya qsat q11g nmei update software sasa ina support powerVu, biss nk. Sasa nauliza kama ntanunua dish kubwa la FTA hata la ft6 naweza kufaidi hzo channels za moviez km HBO,Sony px nk
 
Habari wajuvi mm niko dar nina receiver yng ya qsat q11g nmei update software sasa ina support powerVu, biss nk. Sasa nauliza kama ntanunua dish kubwa la FTA hata la ft6 naweza kufaidi hzo channels za moviez km HBO,Sony px nk
Mi nilikuwa na qsat 11 na 13 ziliharibika mpaka mwisho nilipata CNN HBO SKYNEWS ALJAZEERA BBC

SONY HAZIFUNGUKI SASA HIVI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta modem ya huwaei pia iseti risiver yako ipokee donge. Au Kuna ka wife fulani ambayo ukiwa nayo unatumia hotsport ya simu
Mkuu nina swal msaada iv risiva kama gtmedia v7 8 na 9 naona zina support iptv youtube na cccam na pia zina wifi ndan yake kwa hapa tz inaweza kutumika kwa kutumia dish lip la cband au haya kama ya dstv ya ku band na channel zinaweza kuwa unlocked kama ukilipia cccam account maana naona weng wameconnect tu na internet wanachek epl na uefa champions league msaada wako mkuu nipate mwanga kabla cjainunua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinauzwa sh ngapi hapa Tz na zinapatikana wapi??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji kuweka lnb mbili ili nipate satelite mbili kutoka katika dish la sm 40 ,

Satelite nayotumia kwa sasa ni azer space 2, 45' je niunganishe na satelite ipi ili nipate FTA CHANNEL

sent from toyota Allex
 
Nahitaji kuweka lnb mbili ili nipate satelite mbili kutoka katika dish la sm 40 ,

Satelite nayotumia kwa sasa ni azer space 2, 45' je niunganishe na satelite ipi ili nipate FTA CHANNEL

sent from toyota Allex
...
Unaweza kupata fta 52°e ila utapata kikwazo cha size yako ya dishi na mahala ulipo ...
...
 
Naomba mnisaidie FTA freauency za azer space 2 tofauti na 11637v 300000



sent from toyota Allex
 
Dish la futi nane au zaidi la bati hasa liwe la Prime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Kwema wadau, pale soko la AliExpress vinauzwa ving'amuzi kibao. Inawezekana kununua hivyo ukafunga hapa Tanzania na vikafanya kazi?
Asante
 
Kwema wadau, pale soko la AliExpress vinauzwa ving'amuzi kibao. Inawezekana kununua hivyo ukafunga hapa Tanzania na vikafanya kazi?
Asante
Walikujibu mkuu!??
Nataka majibu pia naona uzi umepoa kwa takribani miaka miwili
Au siku hizi satelite receivers hazipo tena!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…