Du jamani nimefurahi sana kupata kusikia mtu kutoka lutengano mimi nimesoma hapo kuanzia 1996 - 1999 kina makeba mpo??/ naitwa Thecla from Sinza dar es salaam.now nimeolewa na nina mtoto mmoja wakiume call kelvin.
Duu umenikumbusha mbali sana kipindi cha kina Shadrank Nsajigwa, jamaa alikua anapiga boli lakini si kivile sana, Kulikua na jamaa 1 anaitwa culture. Safari za ushirika na Tukuyu kwa ajili ya shopping, Ndizi sukari na mapalachichi. Dona kwa maharage ilikua poa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.