WALE WA DIV 3 FORM 6 2016

WALE WA DIV 3 FORM 6 2016

drelias

Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
24
Reaction score
13
naomba kuuliza, je serikali kusema kwamba hawa vijana waliopata division 3 kwa masomo ya science yaani pcb, pcm, pgm kwa kukosa D mbili je, utaratibu gani umewekwa ukizingatia vyuo vya diploma vimekaribia kujaa.. watabaki majumbani mwaka mzima kweli?

pili, grade zilizo tumiwa zimepandishwa juu D ya sasa ni b ya mwaka jana, huku ndo kuboresha elimu kweli?

tatu, nilisikia profesa ndalichako akisema kwamba mitihani ikivuja atajiuzulu.. na tetesi zinasema mitihani ilivuja , je atajiuzulu?

nne, kwanini serikali inaleta sheria mpya mwishoni mwa mafunzo kila mara? kwani hii ya D mbili ingesemwa tangu watahiniwa wanaanza form 5 ingeshindikana nn?

tano, kwa wanafunzi wa diploma kushtukizwa GPA ya kwenda degree iwe 3.5 je ni sawa kisheria ? ukizingatia wengine wapo mwaka wa mwisho..



asanteni.
 
Bro elewa elim ya kibongo saiv n kugandamiza tu na tuelewe kuwa elimu inayotolewa n ya nazalia tu bal huna utaramu wowote bila ajra UTASUGUA TAKO HOME TU waboreshe wap wakat tunatumia CARIKULAM ya wenzetu
 
Nchi hii itachukua miaka 1000 kufikia maendeleo tunayoyahitaji. Mpaka kizazi cha viongozi wanaofikiria kinadharia waondoke.
 
naomba kuuliza, je serikali kusema kwamba hawa vijana waliopata division 3 kwa masomo ya science yaani pcb, pcm, pgm kwa kukosa D mbili je, utaratibu gani umewekwa ukizingatia vyuo vya diploma vimekaribia kujaa.. watabaki majumbani mwaka mzima kweli?

pili, grade zilizo tumiwa zimepandishwa juu D ya sasa ni b ya mwaka jana, huku ndo kuboresha elimu kweli?

tatu, nilisikia profesa ndalichako akisema kwamba mitihani ikivuja atajiuzulu.. na tetesi zinasema mitihani ilivuja , je atajiuzulu?

nne, kwanini serikali inaleta sheria mpya mwishoni mwa mafunzo kila mara? kwani hii ya D mbili ingesemwa tangu watahiniwa wanaanza form 5 ingeshindikana nn?

tano, kwa wanafunzi wa diploma kushtukizwa GPA ya kwenda degree iwe 3.5 je ni sawa kisheria ? ukizingatia wengine wapo mwaka wa mwisho..



asanteni.
Mbona hamuelewi jaman kama huna vigezo kaa pemben.
Au mnataka kuishawish government iwapitishe alaf na wa art waliopata div. 3 .
Mbona wao hawalala mik
 
Mbona hamuelewi jaman kama huna vigezo kaa pemben.
Au mnataka kuishawish government iwapitishe alaf na wa art waliopata div. 3 .
Mbona wao hawalala mik


wananishangaza sana wanao linganisha science na arts .. esp wewe,,
 
naomba kuuliza, je serikali kusema kwamba hawa vijana waliopata division 3 kwa masomo ya science yaani pcb, pcm, pgm kwa kukosa D mbili je, utaratibu gani umewekwa ukizingatia vyuo vya diploma vimekaribia kujaa.. watabaki majumbani mwaka mzima kweli?

pili, grade zilizo tumiwa zimepandishwa juu D ya sasa ni b ya mwaka jana, huku ndo kuboresha elimu kweli?

tatu, nilisikia profesa ndalichako akisema kwamba mitihani ikivuja atajiuzulu.. na tetesi zinasema mitihani ilivuja , je atajiuzulu?

nne, kwanini serikali inaleta sheria mpya mwishoni mwa mafunzo kila mara? kwani hii ya D mbili ingesemwa tangu watahiniwa wanaanza form 5 ingeshindikana nn?

tano, kwa wanafunzi wa diploma kushtukizwa GPA ya kwenda degree iwe 3.5 je ni sawa kisheria ? ukizingatia wengine wapo mwaka wa mwisho..



asanteni.

Sidhani kama kumekuwa na matayarisho ya kutosha kututoa kwenye mpango wa zamani kutuingiza kwenye huu mpya. Wanafunzi wengi wamekuwa taken by surprise. Wamepigwa na NECTA upande mmoja na TCU/NACTE upande mwingine bila maelezo ya kutosha. Kuna uhusiano gani kati ya ufaulu wa form4 na ule wa form6. Ningetegemea ingawa watoe maelezo ili waathirika wajue nini cha kufanya au kutegemea-mpaka sasa wako kimya.
 
Mbona hamuelewi jaman kama huna vigezo kaa pemben.
Au mnataka kuishawish government iwapitishe alaf na wa art waliopata div. 3 .
Mbona wao hawalala mik
Tuwe waangalifu kwenye hili wote wa arts na science wameathirika. Kwani wa arts waliopata div three ambao hawajafikisha vigezo vya TCU wanakwenda wapi? Sio kwamba wao pia wanahangaika?
 
Ukisikia jambo uwe unauhakika na chanzo ulichopata habari, usije ukaleta maada zingine ambazo pengine ulikatiza mtaa ukakuta watu wapo faragha wanatamka watakavyo japokuwa wao hawajitambui; then unakuja mbio mbio kuripoti!!!. Usishindane na aliyeshika mpini, Prof anatengeneza njia ambayo ilikuwa ikitumika hapo awali. Tutazoea tu, huku mwanzoni tutashangaa sana, tutasema mengi, nk lakini itazoeleka na kupendwa hapo baadae!!!. Pole sana kwa yatokeayo Tanzania msimu huu; wahanga wengi na watakuwa wengi, baadae hawatakuwepo wahanga
 
Ukisikia jambo uwe unauhakika na chanzo ulichopata habari, usije ukaleta maada zingine ambazo pengine ulikatiza mtaa ukakuta watu wapo faragha wanatamka watakavyo japokuwa wao hawajitambui; then unakuja mbio mbio kuripoti!!!. Usishindane na aliyeshika mpini, Prof anatengeneza njia ambayo ilikuwa ikitumika hapo awali. Tutazoea tu, huku mwanzoni tutashangaa sana, tutasema mengi, nk lakini itazoeleka na kupendwa hapo baadae!!!. Pole sana kwa yatokeayo Tanzania msimu huu; wahanga wengi na watakuwa wengi, baadae hawatakuwepo wahanga


WASEMA HIVO KWAKUA USHAIVUKA HII STAGE,, KINACHO UMIZA NI KWANN HAWAKUAMBIWA MAPEMA WAJIANDAE KISAIKOLOJIA?
 
WASEMA HIVO KWAKUA USHAIVUKA HII STAGE,, KINACHO UMIZA NI KWANN HAWAKUAMBIWA MAPEMA WAJIANDAE KISAIKOLOJIA?
Kuambiwa mapema wala sio tatizo, kaanza matengenezo mapema hawezi kufurahisha kila mtu; its impossible! elewa hapo. Waliofanya vizuri nadhani hawajadhulika...................Ni kweli Mimi nimevuka stage hiyo...cheti changu cha form IV na VI vina sahihi ya Prof Ndalichako..........Lakini nimetoa kauli sio kwamba kwakuwa nimevuka hapana! Huwezi furahisha kila mtu, unaangalia upande wenye faida sana kuliko ule mwingine
 
Mbona hamuelewi jaman kama huna vigezo kaa pemben.
Au mnataka kuishawish government iwapitishe alaf na wa art waliopata div. 3 .
Mbona wao hawalala mik
MIMI NI MWAJIRIWA NA KITAALUMA NI ELECTRICAL ENGINEER NINA DEGREE PIA NIMESAIRIWA NA BODI YA MAINJIA TANZANIA
MAONO YANGU KWA SERIKALI YETU KUPITIA WIZARA YA ELIMU WAMEKOSEA TENA KWA KIASI KIKUBWA SANA
UNAPOTAKA KUPANDISHA CUT OFF POINT HAKIKISHA UMEFANYA MABORESHO KTK ELIMU KWA UJUMLA
MFANO: MITAALA BORA, WALIMU WA KUTOSHA, VITABU, MAABARA ILIYOKAMILI PAMOJA NA MAZINGIRA BORA YA KUSOMEA
HAKIKA WALIO WENG WAMESOMA KWA MAZINGIRA YA TABU SANA HAD KUPA DIV3
HIVYO USIANGALIE KWAVILE UMEPATA WEWE TU SIO VIZURI HUU NI UBINAFSI
NA KWA UJUMLA SERIKALI YETU INAKURUPUKA KWAKILA SECTOR HASWA KTK MAAMUZI YAKE
 
Kuambiwa mapema wala sio tatizo, kaanza matengenezo mapema hawezi kufurahisha kila mtu; its impossible! elewa hapo. Waliofanya vizuri nadhani hawajadhulika...................Ni kweli Mimi nimevuka stage hiyo...cheti changu cha form IV na VI vina sahihi ya Prof Ndalichako..........Lakini nimetoa kauli sio kwamba kwakuwa nimevuka hapana! Huwezi furahisha kila mtu, unaangalia upande wenye faida sana kuliko ule mwingine

hakuna anaye omba upendeleo.. lakini kilicho tendeka kupandisha cutoff points hakikua cha kiundwana,, hata ivo grades pia zilipandishwa.. na tumezoea kuona upendeleo kwa comb zenye uzito kama pgm pcb na pcm sasa mwenzangu sjui kwann una moyo mgumu wa kuelewa logic ndogo kama hiyo,,,, inawezekana sana izo grade zilizokupitisha ww ni hizi za waliochujwa mwaka huu.
 
Back
Top Bottom