Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,833
- 13,089
INTRODUCTION
Salamu sanaa Wana JF, ni Mimi yuleyule Mr. Liverpool A.K.A mkataa ndoa.
Hebu twende kwenye mada moja kwa moja.
SCENARIO.
Umeuona huu mshahara...!!!
Huu mshahara unaousoma hapo chini hapo ....
1. Unasomesha watoto wangu wawili private (primary school)..!!
2. Unanipa Flying fish na Hanson's choice kila nisikiapo kiu
3. Unalipa kodi
4. Unanunua Mafuta ya 4 wheel yangu ya kuvimbia mjini.
5. Unanipa nafasi ya kula Bata mjini.
6.
7.
9.
10.
CONCLUSION.
Mbinu ni ileile ""Naishi kimiujiza..!!""
ANYWAY.
Tuendelee kutafuta pesa.
Hela ndio kila kitu.
Money buys anything you want.
#YNWA
Salamu sanaa Wana JF, ni Mimi yuleyule Mr. Liverpool A.K.A mkataa ndoa.
Hebu twende kwenye mada moja kwa moja.
SCENARIO.
Umeuona huu mshahara...!!!
Huu mshahara unaousoma hapo chini hapo ....
1. Unasomesha watoto wangu wawili private (primary school)..!!
2. Unanipa Flying fish na Hanson's choice kila nisikiapo kiu
3. Unalipa kodi
4. Unanunua Mafuta ya 4 wheel yangu ya kuvimbia mjini.
5. Unanipa nafasi ya kula Bata mjini.
6.
7.
9.
10.
CONCLUSION.
Mbinu ni ileile ""Naishi kimiujiza..!!""
ANYWAY.
Tuendelee kutafuta pesa.
Hela ndio kila kitu.
Money buys anything you want.
#YNWA