Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,122
Hawamu hii watanzania tumebezwa sana na kauli za kejeli za baadhi ya viongozi pale tunapolalamika jinsi Hali ya maisha inavyokuwa ngumu.
YaanI unakuta mtu mzima kabisa na akili zake timamu badala ya kujibu hoja au kutafuta suluhisho la changamoto zinazoikabili nchi yeye anatuambia tuhamie huko tunako ONA Kuna unafuu.
Tania nyingine ni Ile ya kuuilinganisha Tanzania na nchi zingine ambazo zinatuzidi uchumi; hizi ni akili au matope
Sasa Jirani zetu Wananchi wana jambo lao tarehe 20; wameamua kupinga upandaji was gharama za maisha ukizingatia bei ya unga kwao iko chini kuliko ya hapa nchini wakati huohuo sisi ndio tunawauzia mahindi.
Jilinganisheni na Hilo basi tuone
Rai yangu kwa watanzania tuige mfano wa jirani zetu
Chawa karibuni
YaanI unakuta mtu mzima kabisa na akili zake timamu badala ya kujibu hoja au kutafuta suluhisho la changamoto zinazoikabili nchi yeye anatuambia tuhamie huko tunako ONA Kuna unafuu.
Tania nyingine ni Ile ya kuuilinganisha Tanzania na nchi zingine ambazo zinatuzidi uchumi; hizi ni akili au matope
Sasa Jirani zetu Wananchi wana jambo lao tarehe 20; wameamua kupinga upandaji was gharama za maisha ukizingatia bei ya unga kwao iko chini kuliko ya hapa nchini wakati huohuo sisi ndio tunawauzia mahindi.
Jilinganisheni na Hilo basi tuone
Rai yangu kwa watanzania tuige mfano wa jirani zetu
Chawa karibuni