donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
.
Mkuu kama pepa ungegonga 80%10: Tamaa mbele mauti nyuma
9:Ulimi hauna mfupa
8:Sikio la kufa halisikii dawa
5:Haraka haraka haina baraka
4:Fuata nyuki ule asali
3:Bendera hufuata upepo
2:Baniani mbaya kiatu chake dawa
1:Aisifiaye mvua imemnyea.
Nilizoacha mnisaidie tu.
Hakika ila ungeniongezea moja ili nipate banda mkuu.Mkuu kama pepa ungegonga 80%
7. Mtoto wa nyoka ni nyoka10: Tamaa mbele mauti nyuma
9:Ulimi hauna mfupa
8:Sikio la kufa halisikii dawa
5:Haraka haraka haina baraka
4:Fuata nyuki ule asali
3:Bendera hufuata upepo
2:Baniani mbaya kiatu chake dawa
1:Aisifiaye mvua imemnyea.
Nilizoacha mnisaidie tu.
Heri kufa macho kuliko kufa moyo6.?????
9. Ulimi hauna mfupaKUUGUA SI KUFA
ilibaki namba 9