Uko na ndugu yako nyumbani anasumbua pesa ya vocha na nauli yaani bado hajanipata?
Je Yuko shapu na anaweza kufanya kazi Kwa uharaka,uaminifu na bila kusimamia?
Basi Kuna kibarua Cha muda mfupi Cha kubandika poster za kampuni ya simu.
Unapewa nauli
Pia Kila poster ni sh 120 Target ufike poster 100 Kwa siku
Uwe na simu janja ambayo haisumbui camera
Hii ni Kwa wakazi wa Dar es salaam tu, Hakikisha hautoki nje ya mji sana ili ufaidi pesa vizuri
Maeneo ya kukutana shekilango Yas store saa mbili kesho asubuhi ukichelewa shauri yako
Umeipenda Ni PM nikupe maelekezo umuone nani
Sitaki hata mia
Ukute na mm nabandika!!
Muhimu ;
uwe smart
Elimu ngazi yeyote
Uwe kidogo muelewa wa mitaa ya Dar hata kama si muelewa utaelekezwa
Karibu graduate mnaokula ugali wa kushiba na wale tunaoswampa na barua mikononi hatuna nauli.
Je Yuko shapu na anaweza kufanya kazi Kwa uharaka,uaminifu na bila kusimamia?
Basi Kuna kibarua Cha muda mfupi Cha kubandika poster za kampuni ya simu.
Unapewa nauli
Pia Kila poster ni sh 120 Target ufike poster 100 Kwa siku
Uwe na simu janja ambayo haisumbui camera
Hii ni Kwa wakazi wa Dar es salaam tu, Hakikisha hautoki nje ya mji sana ili ufaidi pesa vizuri
Maeneo ya kukutana shekilango Yas store saa mbili kesho asubuhi ukichelewa shauri yako
Umeipenda Ni PM nikupe maelekezo umuone nani
Sitaki hata mia
Ukute na mm nabandika!!
Muhimu ;
uwe smart
Elimu ngazi yeyote
Uwe kidogo muelewa wa mitaa ya Dar hata kama si muelewa utaelekezwa
Karibu graduate mnaokula ugali wa kushiba na wale tunaoswampa na barua mikononi hatuna nauli.