WALAKA KUTOKA KWA DENNIS UKONGA.

Mtaalamu wa FOREX na biashara mtambuka, akiwa gerezani Ukonga anaandika kitabu chenye kurasa 330. Pia huwa anagawa nyalaka kwa ndugu na jamaa wanaokwenda kumtembelea.
 
Pole yake maana angefanikiwa basi nayeye angekua kijana mwenye mafanikio, ila ajali kazini hutokea na wajinga wanazaliwa kila siku...
 
Pole yake maana angefanikiwa basi nayeye angekua kijana mwenye mafanikio, ila ajali kazini hutokea na wajinga wanazaliwa kila siku...
Exactly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…