Walahi huu ni Ugonjwa

wanaume tuna raha yaani hii yote ni kwa ajili yetu kutafuna hahahh
 
mchina wapi, na wala sio ugonjwa. Kama ni ugonjwa basi na barabara imeambukizwa. Ona mistari ya barabara ilivyopindishwa. Mambo ya photoshop.
 
Vitu hadimu sana hapa kwetu Kariakoo, kikipita kama hiki, walahi atakufa mtu hapa.
 
mchina wapi, na wala sio ugonjwa. Kama ni ugonjwa basi na barabara imeambukizwa. Ona mistari ya barabara ilivyopindishwa. Mambo ya photoshop.

Mkuu una macho makali.
 
Hakuna ugonjwa wala nini! Uongo mtupu.
 
Hii ni zaidi ya kazi ya mchina, labda ni kazi ya mjerumani hiyo.
 
mchina wapi, na wala sio ugonjwa. Kama ni ugonjwa basi na barabara imeambukizwa. Ona mistari ya barabara ilivyopindishwa. Mambo ya photoshop.

ni Mchina jamani tusibishane saana, kwani vile visimu vinavyopindishapindisha sura si vya mchina hivyo? kila kitu made in CHINA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…