Walahi huu ni Ugonjwa

mchina wapi, na wala sio ugonjwa. Kama ni ugonjwa basi na barabara imeambukizwa. Ona mistari ya barabara ilivyopindishwa. Mambo ya photoshop.
 
Vitu hadimu sana hapa kwetu Kariakoo, kikipita kama hiki, walahi atakufa mtu hapa.
 
Hii ni zaidi ya kazi ya mchina, labda ni kazi ya mjerumani hiyo.
 
mchina wapi, na wala sio ugonjwa. Kama ni ugonjwa basi na barabara imeambukizwa. Ona mistari ya barabara ilivyopindishwa. Mambo ya photoshop.

ni Mchina jamani tusibishane saana, kwani vile visimu vinavyopindishapindisha sura si vya mchina hivyo? kila kitu made in CHINA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…