Wakuuu naombeni majibu yenu

Wakuuu naombeni majibu yenu

farujeuri

Senior Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
153
Reaction score
121
Naitaji zile sijui nisemeje ili nieleweke ila nahisi mtanielewa...
Naitaji zile nanilii za kuulia mbu zile ambazo unqchomeka katika umeme alafu inakuwa kama INA ki tube light kikiwaka kile mbu akifata anapigwa short.. Hii nnayozungumzia ni ile ya kuchomeka ktk umeme .... Naitaji kujua naweza kuipata maeneo yap ya jiji la dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naitaji zile sijui nisemeje ili nieleweke ila nahisi mtanielewa...
Naitaji zile nanilii za kuulia mbu zile ambazo unqchomeka katika umeme alafu inakuwa kama INA ki tube light kikiwaka kile mbu akifata anapigwa short.. Hii nnayozungumzia ni ile ya kuchomeka ktk umeme .... Naitaji kujua naweza kuipata maeneo yap ya jiji la dar

Sent using Jamii Forums mobile app
Du!! we kweli farujeuri ndugu na Faru dume Faru fausta Faru Jenny FARU JEURI Faru Jike Faru John Faru John II Faru John Jr faru john junior faru joni
 
Mkuu.. Niliwahi kua nazo mbili ila sikuona kama zinasaidia nkaishia kuzitia kwenye dustbin...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom