Fafanua zaidi utalipa ndani ya muda gan hilo denii? Je utatoa riba ya kiasi gani? Hiyo Gari yako ni Gari gani? E.t.cHabari wakuu.
Wakuu naulizia wapi nitaweza kupata mkopo kwa mtu binafsi kwa mwanza.!! Nilikua nahitaji loan kama laki 8..na nitaweka bondi kadi ya gari yangu.
Nitashukuru nikifanikisha maana JF nitapata mawazo na msaada Wa kujenga.
Nenda Access bank! But lazima uwe na biashara halaliHabari wakuu.
Wakuu naulizia wapi nitaweza kupata mkopo kwa mtu binafsi kwa mwanza.!! Nilikua nahitaji loan kama laki 8..na nitaweka bondi kadi ya gari yangu.
Nitashukuru nikifanikisha maana JF nitapata mawazo na msaada Wa kujenga.
Habari wakuu.
Wakuu naulizia wapi nitaweza kupata mkopo kwa mtu binafsi kwa mwanza.!! Nilikua nahitaji loan kama laki 8..na nitaweka bondi kadi ya gari yangu.
Nitashukuru nikifanikisha maana JF nitapata mawazo na msaada Wa kujenga.
Mkuu, nadhani ulitaka kuandika Mungu badala ya hiyo uliyoiandikaMkopo wenye riba ni dhambi mungu hapendi...!
Mkuu, nadhani ulitaka kuandika Mungu badala ya hiyo uliyoiandika
Kaka vp gachuma ye ana kopesha mtu yeyote binafsi au naye mashart ka ya bank maana nami na shida nahitaji kopa milioni sitaNenda kiwanda cha Coca Igoma kwa Gachuma mwenyewe atakusaidia
njoo inbox
Utaacha kitu cha thamani mfano gari!Kaka vp gachuma ye ana kopesha mtu yeyote binafsi au naye mashart ka ya bank maana nami na shida nahitaji kopa milioni sita
Nenda pale zamzam karibu na shule ya Msingi Nyanza Kuna ticha anapiga mishe hizo