Msaada: Wapi naweza kupata elimu juu betri za sola?

Msaada: Wapi naweza kupata elimu juu betri za sola?

The story teller

New Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
1
Reaction score
2
Msaada wenu wakuu, naulizia ni wapi naweza kupata elimu hapa nchi kwetu kwa kina zaidi juu ya matatizo ya betri za sola kama vile betri kuvimba, betri kuishiwa nguvu na masuala mengine.

Lengo langu niweze kupata elimu ya kuyatatua haya matatizo hata kama endapo betri itakuwa imekufa basi niweze kuirudisha katika hali yake ya mwanzoni.
 
Mimi Betri yangu ni N18 unga, Sasa hivi Nikiichaji Huwa inakuwa na joto mno upande mmoja pia, Betri haijai chaji hata kama jua ni Kali.. Wajuzi tunaomba msaada hapa nifanye nn ili Betri irudi kama mwanzo
 
Back
Top Bottom