Je aliedai kuvuliwa hijabu yumo?
Jamani Halima Dendegu wa Kilosa Sijaona jina lake na yeye kapuswa nini?
Jamani Halima Dendegu wa Kilosa Sijaona jina lake na yeye kapuswa nini?
Frank Uhaula aliyekuwa Kiteto sijamwona
Betty changu - kasulu
Frank Uhaula aliyekuwa Kiteto sijamwona
Alhaji Mussa Samizi-Moshi
henry clemence olomi-mkuranga,..babu nuksi huyu kazi ya kugawa oc(ruzuku ya kila mwezi)ni ya katibu tawala(w)lakini anafanya yeye
Huyu (Betty Machangu) alijiondoa baada ya kupata Ubunge wa Viti Maalum.
Jamani Halima Dendegu wa Kilosa Sijaona jina lake na yeye kapuswa nini?