Wakuu wa wilaya na mikoa kupika data kufanikisha zoezi la uandikishaji

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
Wakuu wa mikoa na wilaya bado wanazipenda na wanategemea kazi zao hizo kuendesha maisha yao na familia zao

Kiuhalisia hakuna RC au DC yeyote atakaekubali maisha yake yachezewe kirahisi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, waishiwe kutumbuliwa hii ni never na haiwezi kutokea Tanzania

Hapa mheshimiwa rais amechochea kupokea takwimu na idadi za uongo kutoka kila wilaya na mikoa ili tu kumuaminisha rais kwamba idadi ya waliojitikeza ni kubwa na zoezi limefanikiwa, watanzania wamehamasika.

Tujiandae kupokea data zilizotengenezwa tu, idadi ya wapiga kura ndio itakuwa kituko
Kwani watasema watu wengi walijitokeza kujiandikisha lakini wachache wamejitokeza kupiga kura

Swali
Tutaamini vipi kwamba zoezi limefanikiwa iwapo tutaletewa idadi kubwa ya watanzania waliohamasika kujiandikisha?


Hapa naiona janjajanja ya hawa wateule wa rais
 
Wakuu wa mikoa na wilaya bado wanazipenda na wanategemea kazi zao hizo kuendesha maisha yao na familia zao

Kiuhalisia hakuna RC au DC yeyote atakaekubali maisha yake yachezewe kirahisi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, waishiwe kutumbuliwa hii ni never na haiwezi kutokea Tanzania

Hapa mheshimiwa rais amechochea kupokea takwimu na idadi za uongo kutoka kila wilaya na mikoa ili tu kumuaminisha rais kwamba idadi ya waliojitikeza ni kubwa na zoezi limefanikiwa, watanzania wamehamasika.

Tujiandae kupokea data zilizotengenezwa tu, idadi ya wapiga kura ndio itakuwa kituko
Kwani watasema watu wengi walijitokeza kujiandikisha lakini wachache wamejitokeza kupiga kura

Swali
Tutaamini vipi kwamba zoezi limefanikiwa iwapo tutaletewa idadi kubwa ya watanzania waliohamasika kujiandikisha?


Hapa naiona janjajanja ya hawa wateule wa rais
Hilo lisikupe shida serikali ilishaa liona na inalifanyia kazi kwa ukaribu kupitia makachero wake
 
Hilo la kupika data linafanyika sana awamu hii, lakini ujumbe umefika kuwa demokrasia yetu ni kipaombele kuliko mahubiri ya maendeleo ya vitu. Isitoshe wananchi wanaamini maendeleo yanaweza kupatikana na kukawa na demokrasia na sio kinyume chake. Hivyo viongozi wa kuleta maendeleo na kuheshimu demokrasia wako wengi kuliko wanaoweza kuleta maendeleo bila demokrasia.
 
Hiyo itakuwa Anne Kilango Malecela style. Hasa kwa mkoa wa Dar ndio usiseme maana utaambiwa walio jiandikisha ni 155% yaani mpaka mbwa wa majumbani wamejiandikisha. Dadek, usicheze na kijana wa tezi dume nyumba kwa nyumba!
 
Kauli ile ya rais kuwa atawachukulia hatua DC na RC ambao maeneo yao ya kiutawala yatafanya vibaya kwenye uandikishaji itasababisha kuwe na massive fraud kwani hawa jamaa itawalazimu kupika data ili kumfurahisha mheshimiwa na kulinda vibarua vyao.

Hata kwenye uchaguzi wenyewe zitapigwa kura za uongo na matokeo ya uongo ili tu ionekane zoezi zima limefanikiwa
 
Kauli ile ya rais kuwa atawachukulia hatua DC na RC ambao maeneo yao ya kiutawala yatafanya vibaya kwenye uandikishaji itasababisha kuwe na massive fraud kwani hawa jamaa itawalazimu kupika data ili kumfurahisha mheshimiwa na kulinda vibarua vyao. Hata kwende uchaguzi wenyewe zitapigwa kura za uongo na matokeo ya uongo ili tu ionekane zoezi zima limefanikiwa
Hii ni kwamba haiwezekani mkuu wa mkoa au wilaya ahamasishe watu wajitokeze kwa wingi then wachague upinzani.
Haiwezekani kabisa hii kwa tanzania hii
 
Wakuu wa mikoa na wilaya bado wanazipenda na wanategemea kazi zao hizo kuendesha maisha yao na familia zao

Kiuhalisia hakuna RC au DC yeyote atakaekubali maisha yake yachezewe kirahisi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, waishiwe kutumbuliwa hii ni never na haiwezi kutokea Tanzania

Hapa mheshimiwa rais amechochea kupokea takwimu na idadi za uongo kutoka kila wilaya na mikoa ili tu kumuaminisha rais kwamba idadi ya waliojitikeza ni kubwa na zoezi limefanikiwa, watanzania wamehamasika.

Tujiandae kupokea data zilizotengenezwa tu, idadi ya wapiga kura ndio itakuwa kituko
Kwani watasema watu wengi walijitokeza kujiandikisha lakini wachache wamejitokeza kupiga kura

Swali
Tutaamini vipi kwamba zoezi limefanikiwa iwapo tutaletewa idadi kubwa ya watanzania waliohamasika kujiandikisha?


Hapa naiona janjajanja ya hawa wateule wa rais
Na Jiwe ndicho anachomaanisha. Kwamba Yani ushindwe hata kupika data??? Lazima nikutumbue

Atapokea ripoti za upishi na huku akijua Ni upishi lakini as long as Kuna sifa atapata hatajali???

Rejea ripoti ya kuwadai acacia Trilioni 400

Ushamba mzigo
 
Wakuu wa mikoa na wilaya bado wanazipenda na wanategemea kazi zao hizo kuendesha maisha yao na familia zao

Kiuhalisia hakuna RC au DC yeyote atakaekubali maisha yake yachezewe kirahisi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, waishiwe kutumbuliwa hii ni never na haiwezi kutokea Tanzania

Hapa mheshimiwa rais amechochea kupokea takwimu na idadi za uongo kutoka kila wilaya na mikoa ili tu kumuaminisha rais kwamba idadi ya waliojitikeza ni kubwa na zoezi limefanikiwa, watanzania wamehamasika.

Tujiandae kupokea data zilizotengenezwa tu, idadi ya wapiga kura ndio itakuwa kituko
Kwani watasema watu wengi walijitokeza kujiandikisha lakini wachache wamejitokeza kupiga kura

Swali
Tutaamini vipi kwamba zoezi limefanikiwa iwapo tutaletewa idadi kubwa ya watanzania waliohamasika kujiandikisha?


Hapa naiona janjajanja ya hawa wateule wa rais
Kipi rahisi? Kupika data za kujiandikisha au za kupiga kura?
 
Wakati wa kura kutakuwa na idadi kubwa sana ya wapigakura. Kwa ufupi uchaguzi huu utakuwa wa mfano. Dikteta jiwe hoyee.
 
Wakuu wa mikoa na wilaya bado wanazipenda na wanategemea kazi zao hizo kuendesha maisha yao na familia zao

Kiuhalisia hakuna RC au DC yeyote atakaekubali maisha yake yachezewe kirahisi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, waishiwe kutumbuliwa hii ni never na haiwezi kutokea Tanzania

Hapa mheshimiwa rais amechochea kupokea takwimu na idadi za uongo kutoka kila wilaya na mikoa ili tu kumuaminisha rais kwamba idadi ya waliojitikeza ni kubwa na zoezi limefanikiwa, watanzania wamehamasika.

Tujiandae kupokea data zilizotengenezwa tu, idadi ya wapiga kura ndio itakuwa kituko
Kwani watasema watu wengi walijitokeza kujiandikisha lakini wachache wamejitokeza kupiga kura

Swali
Tutaamini vipi kwamba zoezi limefanikiwa iwapo tutaletewa idadi kubwa ya watanzania waliohamasika kujiandikisha?


Hapa naiona janjajanja ya hawa wateule wa rais
Wataumbuka mchana kweupe maana tutaweka wasimamizi wa vyama nchi nzima kuhakikisha tuna takwimu
 
Wakuu wa mikoa na wilaya bado wanazipenda na wanategemea kazi zao hizo kuendesha maisha yao na familia zao

Kiuhalisia hakuna RC au DC yeyote atakaekubali maisha yake yachezewe kirahisi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, waishiwe kutumbuliwa hii ni never na haiwezi kutokea Tanzania

Hapa mheshimiwa rais amechochea kupokea takwimu na idadi za uongo kutoka kila wilaya na mikoa ili tu kumuaminisha rais kwamba idadi ya waliojitikeza ni kubwa na zoezi limefanikiwa, watanzania wamehamasika.

Tujiandae kupokea data zilizotengenezwa tu, idadi ya wapiga kura ndio itakuwa kituko
Kwani watasema watu wengi walijitokeza kujiandikisha lakini wachache wamejitokeza kupiga kura

Swali
Tutaamini vipi kwamba zoezi limefanikiwa iwapo tutaletewa idadi kubwa ya watanzania waliohamasika kujiandikisha?


Hapa naiona janjajanja ya hawa wateule wa rais
Nina shaka pia kina watu wataandaliwa maalumu na kwa muda tofauti kupiga foleni mara tatutatu kuonyesha wingi wa watu waliojitokeza. Nguo watabadilisha n.k.
 
Back
Top Bottom