Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,013
Kuna tetesi za ndani nimesikia kutakuwa na mabadiriko ya wakuu wa wilaya nchi nzima wengine watatoka na wengine watapangiwa sehemu zingine hii ni kutokana na wengine kushindwa kumudu nafasi walizoteuliwa......
mkuu nakumbuka ni hivi majuzi juzi tu rais aliteua madc wapya na kuhamisha wengine vituo. kunani? hii inadhihirisha kuwa hizi nafasi zinatolewa kifadhila hence watu hawawezi kuperfom. pia huu ni ushahidi kuwa udc umeshapitwa na wakati sasa. mtu anashindwa kwenye ubunge then anateuliwa kuwa dc. what do you expect?