Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki (EAC) wafanya kikao kujadili Corona. Rais Magufuli na Nkurunziza hawakushiriki

Rais Magufuli vipi hajashiriki au Tanzania haihusiki? Kwa maana nyingine Rais wa Tanzania haungi mkono juhudi za nchi washirika
Waliyoyajadili sisi hatujayafungia tunaendelea kuchapa kazi. Hao wali lockdown sasa wanajadili namna ya kurudi duniani.
 
Sio kitu kigeni ni nyakati tu zimetofautiana.
Walianza na nyerere wakauvunja umoja wa Africa mashariki wakagawana rasilimali, walimtenga jakaya wakatengeneza coalition yao, sasa wanamtenga pombe...
Kuna mengi yanaibuliwa na covid19 kama immediate cause tu.
Tunawatakia heri katika maazimio yao.
Wakiacha unafiki wanaweza fanikiwa
 
Napata hasira ukizingatia mbavu zinaniuma hapa sjui ndo koroo? yaani sielewi kiongozi gani anajifungia kijjn haongei hata na wenzie? Hatupi updates zozote,why? Haonani hata na madaktari na wataalamu wa afya wakamshauri!! Watu wanakufa, madaktari wanahangaika maeneo yakazi MTU wakuwatia moyo yuko kijjn!!!!!
Maisha ya watu yana maana kuliko kujengajenga!! Embu waTz tujielewe kidogo tunahitaji kiongozi mahiri atayelinda watu na mali sio mali akaacha watu... Hii haikubaliki watu wetu wanakufa viongozi hawatuelezi wala kutuonesha wanavyopambana MTU asiambukizwe!!
 
Hajatajwa, na sababu ya yeye kutoshiriki hakuna. Ni kama vile hakualikwa.

Mimi nimezungumzia content chache ya kilichozungumzwa kwenye hicho kikao.
Kumbe umezungumzia irrelevant contents.,sawa.
 
THIS NOW IS TOO MUCH NI AIBU KUBWA KWA TAIFA LETU KUFIKIA HATUA YA KUTENGWA NA WENZETU KATIKA SADC NA EAC ........SIJUI TUNATAKA TUSUBIRI HADI NINI ITOKEEE ...
 
Hawa masikini waache wajadili ujinga wao, sisi sio size yao.. soon wataachia watu wao mitaani na watafungua borders na kila kitu kitaendelea.. Tanzania is giant of all combined, we are just watching them wakijipendekeza kwa Mzungu...watakuja hapa kama Kenyata alivyopanda ndege haraka kumfuata JK Magogoni baada ya kuminywa kidogo tu, huyo PK anajua kilichomkuta misitu ya DRC na baadaye kile kibano akaombewa msamaha na nanihii...tunawacheki tu kwenye radar zetu..
,lakini ujue hali ya corona haisubiri mtu kutengenez maabara kisha ndio iendelee kusambaa,

Tatizo kila siku lina jiongeza kwa wastani wa kipeo cha pili ''exponentialy''

Hali haimgojei Mkuu kufanya maamuzi ya kubahatisha ya kiubishi tuu na kiujuwaji.
Corona ipo na inatapakaa
squre.jpg
 
Yaaani michango yote humu ni ya kitoto sana:: "eti kwa sababu hajui kiingereza" mbona sehemu nyingi tumesikia anaongea kiingereza vizuri tu! Yaaani criticism kwa magu zimeisha hadi tumeanza mashambulizi ya kitoto kabisa
 
Yaaani michango yote humu ni ya kitoto sana:: "eti kwa sababu hajui kiingereza" mbona sehemu nyingi tumesikia anaongea kiingereza vizuri tu! Yaaani criticism kwa magu zimeisha hadi tumeanza mashambulizi ya kitoto kabisa
Weka clip hapa magu anakichapa kidhungu😂😂😂😂😂au una maanisha ile press ya Kyle Uganda ?
 
Back
Top Bottom