Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki (EAC) wafanya kikao kujadili Corona. Rais Magufuli na Nkurunziza hawakushiriki

Najibu Maswali haya kuhusu Corona kwenye video hii kwa kupitia BBC Swahili:
1. Je kuna chanjo ya Corona?
2. Je kwanini majaribio ya chanjo ya Corona yanafanyika Afrika?
3. Je kushiriki kwenye majaribio ya chanjo ya Corona ni salama?
 
Najibu Maswali haya kuhusu Corona kwenye video hii kwa kupitia BBC Swahili:
1. Je kuna chanjo ya Corona?
2. Je kwanini majaribio ya chanjo ya Corona yanafanyika Afrika?
3. Je kushiriki kwenye majaribio ya chanjo ya Corona ni salama?

Katika hizo chanjo 180 zinazofanyiwa kazi duniani, je kati ya hizo ni ngapi zinatoka katika bara la Africa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi zenye wapigaji hili janga la Corona ni dili,vikao vitakaliwa kila mara,watu watafungiwa ndani na maskini wengi watakufa na wale wenye ulemavu,wanawake na watoto watabakwa katika nchi hizi,haki za binadamu zitakiukwa kwa kisingizio cha corona,kujipendekeza kwa mabeberu kupata misaada ambayo itatuika kwa manufaa yao. Raisi Magufuli hawezi kushiriki kwenye uharamia huu,mbinu tunazotumia zinatufaa kwa mazingira ya Tanzania.Chukua tahadhari corona ni ugonjwa hatari
 
Anzeni kuandaa hata mgombea wenu wa uraisi, bado miezi miwili na nusu(wiki 10) kampeni zianze. Hii kiki ya Corona imeshabuma. Uingereza wameanza taratibu kurudi maofisini na kufanya mazoezi mitaani na kutembeleana leo.

Ligi za Ujerumani zinaanza wiki hii jumamosi, Italy tarehe 25. USA majimbo mengi yanaondoa lockdown next week.

Hizo nchi za EAC zinazoiga kila kitu zitaachia raia soon waingie mtaani. Mambo yanarudi normal before mid June. Tafuteni kiki nyingine.
Wamelegeza masharti baada ya kuthibiti "infection rate".
 
Bogus
Nchi zenye wapigaji hili janga la Corona ni dili,vikao vitakaliwa kila mara,watu watafungiwa ndani na maskini wengi watakufa na wale wenye ulemavu,wanawake na watoto watabakwa katika nchi hizi,haki za binadamu zitakiukwa kwa kisingizio cha corona,kujipendekeza kwa mabeberu kupata misaada ambayo itatuika kwa manufaa yao. Raisi Magufuli hawezi kushiriki kwenye uharamia huu,mbinu tunazotumia zinatufaa kwa mazingira ya Tanzania.Chukua tahadhari corona ni ugonjwa hatari
 
Watanzania tuwe watulvu sio kila jambo ni kulkurupukia
Tuwaachie viongoz wao ndio wanajua nchi ipo katka hali gani na kipi kifanyike. Sasa kama kila mtu akitaka kuchukua nafasi ya uraisi sidhan kama tutafka, wao ndo wana data na sio mtu baki
Mfano tu leo tukipgwa lockdown je nchi inajiweza kuwalisha watz wote kama sio kuwaauwa RAIA wake kwa njaa #wakose hata nutrients za kuimprove body immunity. Stop politics plz
 
Je, huo mkutano ni dawa ya Corona?
Njia za kujikinga na Corona zinaeleweka, sasa wao wamekaa kujadili nini kipya?
Hapo wamemwogopa JEMBE yeye huwa hapendi kupoteza muda kujadili masuala ambayo tayari yanaeleweka.
Huko Duniani wamekaa vikao wee lakini njia za kujikinga na Corona zinabaki ni zile zile.
coment yako ni ya kitoto sana,yupo aliyewahi kuulizwa vp mbona hatujakuona kwenye mazishi, naye akajibu kwani waliofika hawakutosha kumzika marehemu? na mlitaka nifike ili nifanye nini?
 
Hicho ni kikao cha harusi tu,

Hao wanatapa tapa Mbona walipoamua kufunga mipaka hawakutushirikisha?mambo yamekua magumu kwao ,wanakutana vichochoroni.

Kwa mujibu wa protocol za EAC,hicho ni kama kikao cha ujirani mwema tu hakina impact yoyote.

Hao vibaraka waliwahi eti kuanzisha CoW Coalition of the willing,wameishia wapi?
Tanzania ni kama Maji,watakuja tu,
Na SADC wameanzisha COW yao sasa hivi chini ya Ramaphosa baada ya Chairman 'kurara mbere'.
 
Back
Top Bottom