mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Hebu tuweke clips kwenye uzi huu za marais wa Kenya, Tanzania na Uganda tuwaone jinsi wanavyowaandaa wananchi wao kupambana na maisha huku wakipigana vita ya kujilinda na corovid 19. Mimi naweka ya Magufuli, na wengine wekeni za marais wengine halafu tuwatathmini wanavyotimiza jukumu la kuongoza mapambano ya kiuchumi na kijamii katika kipindi hiki kigumu.