Wakuu wa Mikoa na Wilaya watakiwa kujieleza kufuatia kutoonekana kwa Miradi iliyozinduliwa mwaka 2017

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326


Rais Magufuli amesema mwaka jana katika mbio za Mwenge kuna miradi ilizinduliwa lakini katika mbio za mwaka huu miradi hiyo ilipokaguliwa haijaonekana

Amesema jumla ya miradi mitano haijaonekana mwaka huu huku akitolea mfano duka la dawa za Binadamu lililozinduliwa Wilayani Bariadi mkoani Simiyu

Ametoa maagizo hayo leo Oktoba 15 akiwa Ikulu jijini Dar alipokutana na Wakimbiza Mwenge wa Uhuru wa Mwaka huu na kuzungumza nao

Aidha, amesema kutoonekana kwa miradi hiyo ni kuudanganya Mwenge na kumdanganya Baba wa Taifa ambaye ni Mwanzilishi na kiini wa Mwenge wa Taifa

Wakimbiza Mwenge aliongozana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama
 


Rais Magufuli amesema mwaka jana katika mbio za Mwenge kuna miradi ilizinduliwa lakini katika mbio za mwaka huu miradi hiyo ilipokaguliwa haijaonekana

Amesema jumla ya miradi mitano haijaonekana mwaka huu huku akitolea mfano duka la dawa za Binadamu lililozinduliwa Wilayani Bariadi mkoani Simiyu

Ametoa maagizo hayo leo Oktoba 15 akiwa Ikulu jijini Dar alipokutana na Wakimbiza Mwenge wa Uhuru wa Mwaka huu na kuzungumza nao

Aidha, amesema kutoonekana kwa miradi hiyo ni kuudanganya Mwenge na kumdanganya Baba wa Taifa ambaye ni Mwanzilishi na kiini wa Mwenge wa Taifa

Wakimbiza Mwenge aliongozana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama
Naona mwenge unaabudiwa; na uko uwezekano wa sheria kutungwa ili 'kumdanganya hayati baba wa taifa na mwenge' liwe kosa la jinai?
 
Kwakweli kama ni sifa ziende kwa Mh.Rais kwenye hili.Kwa mara ya kwanza ufuatiliaji wa miradi unafanywa kwa dhati badala ya kufanya maigizo.Asante sana Mh.Rais
 


Rais Magufuli amesema mwaka jana katika mbio za Mwenge kuna miradi ilizinduliwa lakini katika mbio za mwaka huu miradi hiyo ilipokaguliwa haijaonekana

Amesema jumla ya miradi mitano haijaonekana mwaka huu huku akitolea mfano duka la dawa za Binadamu lililozinduliwa Wilayani Bariadi mkoani Simiyu

Ametoa maagizo hayo leo Oktoba 15 akiwa Ikulu jijini Dar alipokutana na Wakimbiza Mwenge wa Uhuru wa Mwaka huu na kuzungumza nao

Aidha, amesema kutoonekana kwa miradi hiyo ni kuudanganya Mwenge na kumdanganya Baba wa Taifa ambaye ni Mwanzilishi na kiini wa Mwenge wa Taifa

Wakimbiza Mwenge aliongozana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama

Serikali hewa ilifungua miradi hewa, hata ilyofunguliwa haifanyi kazi.
Magumashi-magumashi- magumashi.
 
Makamanda tupinge.
Bora hata wakuu wa mikoa hawakufungua miradi ambayo haipo, mbona yeye alifungua miradi marabili mbili, viwanda vilishafunguliwa akafungua tena.
Mzugaji sana huyu mzee, atwbie miradi iliyozinduliwa ina manufaa gani kwa watanzania. Mbona anang'ng'ania miradi mitano tu, kwani nchi nzima ilikuwa hiyo tu??

Mgumashi-magumashi-magumashi.
 
Bora hata wakuu wa mikoa hawakufungua miradi ambayo haipo, mbona yeye alifungua miradi marabili mbili, viwanda vilishafunguliwa akafungua tena.
Mzugaji sana huyu mzee, atwbie miradi iliyozinduliwa ina manufaa gani kwa watanzania. Mbona anang'ng'ania miradi mitano tu, kwani nchi nzima ilikuwa hiyo tu??

Mgumashi-magumashi-magumashi.
Safi kamanda, kila kitu tutapinga tu. Ikibidi tutajipinga sisi wenyewe.
 
Pesa ya hiyo miradi si ilielekezwa kwenye mbio za moto,or no mwenge.
 
Pamoja na kuwa mkali lakini hakuna kitu bizinezi azi yusho. Tatizo lako ndo hiyo maana wanajua unapenda sifa sasa tunafungua ii kukuridhisha kisha tunakimbia
 
Back
Top Bottom