jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #21
Unajua kazi ya BOT?serikali haiwezi kutoa maelekezo kwa nmb, banki ina wenyewe. serikali ana hisa tu kama yule mwananchi aliyenunua dse. angalia safu ya uongozi. serikali kama mwanahisa inaweza kutoa pendekezo na likapingwa na majority, that's plc! endelea kuota!