Wakuu tushauliane hili suala

Wakuu tushauliane hili suala

Basi akae chini atulie kwa sasa, aachane na mahusiano kwa muda na akirudi kwenye mahusiano atafute mwanamke mwingine kabisa na sio huyo dada...

Kaka watu8 kwa hali ilivyo wale wanandoa ni ngumu sana kurudiana sababu kipindi cha nyuma tulishwahi kumsihi John arudiane na mkewe lakini tulipata upinzani mkubwa sana. Kitu kingine mkewe John hawaelewani na ndugu wa John sababu mke wa John aliwahi kumfungia mlango dada yake John siku hiyo alichelewa kurudi kutoka kazini kipindi hicho John akiwa amesafiri kikazi mikoani, ikapidi ampangie dada yake hotel kwa muda. Na wazazi wake John nao hawaposupportive katika kutafuta suruhu kila kitu kaachiwa John aamue mwenyewe. Kiufupi pande zote za wazaz hawajawahi hata kuitisha kikao kusuruhisha iyo ndoa.
 
Damn ,it's complicated yan hata nashindwa nishaurije,ila hao on and off 8 years..wakiweke official tu,having a first date on the 8th yr??looks like walianza km friends with benefits,
 
Hali ya ndoa ya John kwa kweli bado tete talaka haijatolewa mahakamani hadi sasa.

Wasiwasi wa Nusra aliniuliza John kama ikijatikea akarudiana na mkewe itakuwaje kwa upande wake asije jikuta anapoteza muda wake tuu. Sasa ndo maana tena anaona hata kama RAMA hana msimamo wa kimaisha yani haujali future full gambe kila siku na hampendi kutoka moyoni, aende kwa RAMA aachane na John au atake risk kwa John.
Steven Robert Masatu hii ilinipita lakini nadhani The Boss yuko sahihi, na kuhusu kuvunja ndoa nadhani hilo swala liko mikoni mwa John na anaweza kuivunja kupitia mahakamani kisha akafunga ndoa na Nusra. Inawezekana ikachukua muda kidogo, lakini akiamua kwa dhati atafaulu na kujenga familia. Swala la dini mimi silipi sana kipaumbele kikubwa ni mapenzi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom