BWANA WANGU
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 365
- 850
- Thread starter
-
- #61
Sawa mkuu.Mechincal tenchician au Engineer niwatu wako sokoni sana tembelea mkuranga pale wiki moja viwandani uwezi kukosa kazi nenda kiwanda cha BBQ or Expert consultancy kipo kisemvule pia pita pepsi hutajuta sana mtembea bure sio kama mkaa bure
Kabisa kaka.27 bado kijana kabisa. Kwa namna yoyote ile usikate tamaa mtoa mada, bado unayo nafasi ya kufanya tena.
Iihiii!! poleJAMN MWENZENU NILIONDOKA DAR SASA NIMERUDI LKN NALALA KWNYE KIBARAZA SEHEMU MWENYE NYUMBA ANISHIKE MKONO JAMN
0713491359
NIPO FERRY(KIGAMBONI)
Mkuu pole sana Mungu akusaidie uvuke salama na mchogo uupate hapa!Kama bango linavyo jieleza wakuu.
Nimeshachukua ma ushauri kibao nimeyafanyia kazi lakini wapi,utasikia CV yako andika hivi , nenda kwenye kampuni X kapeleke CV , nakutumia tangazo la kazi u apply, zote zinagonga mwamba
Inauma sana umetoka zako asubuhi unaenda kwenye ofisi kupeleka CV alafu inaishia kwa mlinzi
Ombi langu ni moja wakuu kwa unyenyekevu naombeni connection ya kazi /kujitolea sehemu yeyote dar es salaam au mkoani . Fani yangu MECHANICAL ENGINEER nipo Dar
Karibu PM ipo wazi wakuu
Asanteni ,muwe na usiku mwema .
Kwa maisha ya sasa kujiongeza lazima. Ukifocus na kaz tuuu upate kazzzzz tu.. Yani kazi tuuuu.... Umeumia!Mkuu pole sana Mungu akusaidie uvuke salama na mchogo uupate hapa!
Jamani wenye kazi tufanye kazi na tuzilinde na tumuombe Mungu azilinde unapomuona mtu hadi ana andika hivi hiki ni kipindi kigumu kwake anapitia hii isikie kwa mwenzio tuuโฆ. Hii hali sio nzuri hii ni hali ya kukata tamaa!
Jamani mtaani pagumu hasa kama una akili timamu una malengo hakika unaweza kufikia hali zaidi ya huyuโฆ.msichezee kazi huyu mtu ana wakilisha watu wengi wanaoteseka mtaani na wana taaluma zao โฆ.Muda mwingine elimu haifanyi lolote unahitaji watu wakushike mkono..na wanakosekana kabisa i can feel this pain โฆโฆ
Jamani mwenye connection ampe mshikaji apate kwa kujishikiza!
Mungu akutangulie
Hvi kuna ubaya mtu kuajiriwa akiwa na 25 years!?27 bado kijana kabisa. Kwa namna yoyote ile usikate tamaa mtoa mada, bado unayo nafasi ya kufanya tena.
Hapana mkuu hakuna ubaya, ni jamii zetu tu zimeset standards kwenye baadhi ya mambo. Sema ukipata mchongo wa kueleweka kwenye 20s, 30s, 40s au vyovyote vile, Just do your best.Hvi kuna ubaya mtu kuajiriwa akiwa na 25 years!?
Maan wengin ukiwatajia age hiyo wanakwambia bado sana ww pambana bdo chalii , hv kweli et Street difficult zinaleta utafutaji wa ages kweli?
Hukuwa na nia yakumsaidia kijana..Ungemuendea huko alikoomba PM mukamalizana kimnyakimnyaSawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.
So, I was trying kulipa fadhila via same style.
Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday[emoji120][emoji120]
Asante sana mkuu na kunitia moyo , mungu akubariki pia.Mkuu pole sana Mungu akusaidie uvuke salama na mchogo uupate hapa!
Jamani wenye kazi tufanye kazi na tuzilinde na tumuombe Mungu azilinde unapomuona mtu hadi ana andika hivi hiki ni kipindi kigumu kwake anapitia hii isikie kwa mwenzio tuuโฆ. Hii hali sio nzuri hii ni hali ya kukata tamaa!
Jamani mtaani pagumu hasa kama una akili timamu una malengo hakika unaweza kufikia hali zaidi ya huyuโฆ.msichezee kazi huyu mtu ana wakilisha watu wengi wanaoteseka mtaani na wana taaluma zao โฆ.Muda mwingine elimu haifanyi lolote unahitaji watu wakushike mkono..na wanakosekana kabisa i can feel this pain โฆโฆ
Jamani mwenye connection ampe mshikaji apate kwa kujishikiza!
Mungu akutangulie
Thats trueHapana mkuu hakuna ubaya, ni jamii zetu tu zimeset standards kwenye baadhi ya mambo. Sema ukipata mchongo wa kueleweka kwenye 20s, 30s, 40s au vyovyote vile, Just do your best.
Mkuuu nimeku pm hiyo 50,0000 nisaidie MimiSawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.
So, I was trying kulipa fadhila via same style.
Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday[emoji120][emoji120]
Mkuu huko nipo napambania kaka , mtafutaji hachoki.Ile issue ya EACOP ulifatilia.
Nimeona vijana wengi wanapambania hiyo eemh katest zali huko.
๐ ๐ ๐ ๐ฎ๐ฎ๐ฎ Kujikuta una maisha....anaesaidia angeenda PM acha kujifanya una ubinadamu uongo mtupu lengo lako ni kibri na kuonesha ulivyo maamumaSawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.
So, I was trying kulipa fadhila via same style.
Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday[emoji120][emoji120]
Namlaumu baba Yako kwa kutovaa kondomu mpaka akatungisha mimba ya kichaa kama wewe....wasted sperm!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji706][emoji706][emoji706] Kujikuta una maisha....anaesaidia angeenda PM acha kujifanya una ubinadamu uongo mtupu lengo lako ni kibri na kuonesha ulivyo maamuma
Get a life acha maigizo jamiiforumNamlaumu baba Yako kwa kutovaa kondomu mpaka akatungisha mimba ya kichaa kama wewe....wasted sperm!!!
Situmii mikunduu we shoga acha kuniganda katafute wengineGet a life acha maigizo jamiiforum