Unaweza kununua hisa hata kwa Cash mkuu.Sisi majaji tuna acc CRDb,naweza kwenda nunua hisa bila husisha benki?
Unamaanisha kampuni ya Vodacom inapata hasara? Si kweli mkuu kuna mkanganyiko kwa watu mtaani naelewa kwanini walikwambia hivyo.kuna mahali nilisikia kwamba kama kampuni inapata hasara ,wanaokua wa kwanza kupata hasara au hata kupoteza hisa zao ni wale wenye hisa ndogo katika kampuni husika.naomba kufafanuliwa hapa
Muhimu kulielewa zaidi soko linavyokwenda.mimi naamini kuwekeza kwa kununua hizi hisa kuna faida voda ni linakua sana kuingiza hasara sidhani
Kiwango cha chini ni hisa 100Sijaelewa chochote aisee(im not bashite lakin) mleta thread hebu nielekeze vizuri kuhusu kiwango ambacho naweza anza nacho na pia faida yake kwa mwaka
Peocess kuna form za kujaza utaulizwa maswali yote hapo,na imahitajika picha pasport size moja na kitambulisho.Sasa nikitaka kununua nafanyaje?
Process
majibu ya rejareja sana haya hakuna mfanyabiashar anaependa asara ni lazima faida iwekw waziKiwango cha chini cha idadi ya hisa ni 100, kiwango cha faida kitategemea na faida ya kampuni mara baada ya kuondoa tax.
Hapo hapo kuna wenzio walikua mamilionea kupitia hiyo hiyo Crdb trust me... Kweny hisa inabid uwe sharp and information is a very powerful tool..Kama ambavyo watu watapiga hela kweny Voda wengine wakibaki wanatoa macho..but I would tell you..bado hujapoteza kitu kweny crdb..kitu cha msingi kampuni iwe ina make consistent profit afu iwe inatoa gawio..bei itakuja panda tu no need to worry.. Kilichotokea Crdb walifanya Rights issue in 2015..hii huchangia kupunguza bei kwasab idadi ya issued shares iliongezeka sokoni..kingine Crdb Ina wanahisa wadogowadogo wengi ambao hupenda kuuza hisa Mara kwa Mara as compared to big investors who buy and hold..hii hupeleka demand kushuka hence Price.. Kingine ni current liquidity problem tangia jpm ashike hatamu..watu hawana loose money as in the pastHii biashara ya hisa sina hamu nayo kabisaaaaa nilinunua hisa bank ya crdb hisa moja ilikuwa inasimamia tshs 350 kwasasa imeanguka mpaka tshs 185/=nilipiga hesabu ya kuuza nikajikuta nitapata hasara km ya 5,800,000/=
Tatizo wameajir wakina dada aina ya akina bashite wengimi nwenyewe nineshakumbana nao, nilichoelewa wale hawajui chochote mpaka pale nilipoamua kuonana na Afisa ndio akanipa elimu kidogo.
wanaouza kwa benk ni NBC tuMkuu kama tayari una account unaweza ukanunua Hisa nenda bank NMB nafikiri ndio watakuwa wamechukua uwakala,
ambapo hisa moja ni Tsh. 850.
Nilikuwa nahitaji za 850,000Hivi hisa 100 sawa na sh 85,000 nahisi ni ndogo sana MTU kupata gawio...nieleweshe
Nenda tawi lolote la NBC bank karibu nawe unanunua na kufunguliwa account ya DSENilikuwa nahitaji za 850,000