nenda wizara ya elimu pale opp na ikulu kama upo Dar waambie walinzi unaenda idara ya sekondari chumba 103 sina uhakika na hiyo namba so utaweza kukutana na wadau wengine komaaa pale mpaka kieleweke uwe na sababu mbichi kufanya uhamisho hata hiyo shule uliyopangiwa usikanyage