Wakuu nisaidieni hili nalo msinichoke

nenda wizara ya elimu pale opp na ikulu kama upo Dar waambie walinzi unaenda idara ya sekondari chumba 103 sina uhakika na hiyo namba so utaweza kukutana na wadau wengine komaaa pale mpaka kieleweke uwe na sababu mbichi kufanya uhamisho hata hiyo shule uliyopangiwa usikanyage
 
nenda wizara ya elimu pale opp na ikulu kama upo Dar waambie walinzi unaenda idara ya sekondari chumba 103 sina uhakika na hiyo namba so utaweza kukutana na wadau wengine komaaa pale mpaka kieleweke uwe na sababu mbichi kufanya uhamisho hata hiyo shule uliyopangiwa usikanyage
Na kubadili shule uliopangiwa kwenda nyingine inakuwaje?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom