Wakuu nimeibiwa

Mkuu pole kwa janga hilo, nakushauri ufokasi kutafuta solutions for paying the bills e.t.c

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
UnafAnya kazi na muhuni....ukiona demu anavuta fegi basi ujue hapo hasara bin hasara hakuna kinachompa hofu,Ila pole sana....jaribu kutafuta wafanyakazi kutoka pori hadi waje kujanjaruka ni muda mrefu ushatusua achana na wavuta fegi watoto wa mbwa!!
 
Kuna tatizo lolote baina yenu?
Mbali na kumuajiri mnao uhusiano wowote nje ya ajira rasmi?

Hua unafatilia maisha yake kwa ujumla jinsi anavyoishi?
 
Inakuaje akichukua laini inginee na akaishi maisha mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Ninaona kuwa kuna swali linaulizwa humu zaidi ya mara Nne na halipatu majibu la...Amekuibia shilingi ngapi??...au ameibia shs ndogo sana hata wee mwenyewe unaona udhia kuzitaja?
Kama ni hivyo, achana naye Usonge mbele na mambo yako mengine...Mungu atakujalia nyingine nyingi zaidi ya aliyokuibia!
Huwezi kujua, labda huko kwao mama yake amelazwa kwa kuanguka ghafla kwa stroke na hiyo hela uliyoibiwa ndio imeenda kumuokoa huyo mama na kwa namna moja ama nyingine ukawa umepata Baraka kwa kuokoa maisha ya mtu!...japo kwa kuibiwa !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itoshe kujua kaibiwa, kujua kiasi mna mpango wa kumchangia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…