Wakuu nimechanganyikiwa - daktari yupi yuko sahihi?

Mimi kama daktari sijaona tatizo kwa wote wawili katika hesabu hizo kuna 25days + or -, kikubwa fanya ya fuatayo. Mosi, andaa vifaa kama ulivyoelekezwa clinic. Pili, zijue dalili za uchungu coz siku ya Mtoto kutoka inafahamika 1,2,3 days before. Tatu, piga ultrasound inapatikana kila wilaya Tanzania ili ujue exactly una mimba ya umri gani na hali ya kiafya ya Mtoto. Suala la operation hasa planned yaweza fanyika any date between hizo 25 days coz Mimba itafikisha 36weeks (9months). Huko uliko sasa shika ya daktari wa huko unless utaonekana unamatabibu wengi upotoshwa au utanyanyapaliwa wodini wakuite anaejifanya.
.......
 
mimi kama daktari sijaona tatizo kwa wote wawili katika hesabu hizo kuna 25days + or -, kikubwa fanya ya fuatayo. Mosi, andaa vifaa kama ulivyoelekezwa clinic. Pili, zijue dalili za uchungu coz siku ya mtoto kutoka inafahamika 1,2,3 days before. Tatu, piga ultrasound inapatikana kila wilaya tanzania ili ujue exactly una mimba ya umri gani na hali ya kiafya ya mtoto. Suala la operation hasa planned yaweza fanyika any date between hizo 25 days coz mimba itafikisha 36weeks (9months). Huko uliko sasa shika ya daktari wa huko unless utaonekana unamatabibu wengi upotoshwa au utanyanyapaliwa wodini wakuite anaejifanya.
.......

asante mkuu!
 
Roho inakudunda nini tena dada, watoto watatu bado unaogopa kujifungua?
Mungu akutangulie hope kesho utatuletea a baby boy as your wish

Duuuh, mbona roho inaanza kudunda! Wiki nzima sipati usingizi hasa kuanzia saa 8 usiku hadi saa 10 alfajiri.
 
Kwa kurejea tarehe ulizotaja, mimba ulipata kwenye tarehe 22/07/2013, mimba yako sasa ina umri wa wiki 38 na tarehe tarajiwa ya kujifungua ni 14/04/2014, na inaweza kufikia hadi tarehe 28/04; hongera sana, nani kama mama?. Hesabu hii inategemea kwamba mzunguko wako wa hedhio ni wa kawaida, yaani siku 28. Kuhusu hao madakitari wawili, wewe rejea ushauri wa Mheshimiwa Rais wetu: Akili ya kuambiwa, changanya na yako!!!
Haya mahesabu yanategemea mzunguko wake ni wa siku 21, 28, 35 etc.
Kama mzunguko wako ni wa siku 28 tarehe ya makisio ni 15 April 2014.
 
Kama tarehe 8 ndio ilikuwa siku ya kwanza, kwa kalenda ya google inasema due date ni 14th April 2014. Ila muone daktari kwa ushauru zaidi, sie madaktari kanjanja tusije tukakuingiza chaka. Na ndio maana nikasema, isingekuwa issue ya planned tarehe, ungesubiri mpaka uone dalili za mauza uza ndio ujisogeze...

Kweli Da' Dina!
 
Last edited by a moderator:
Mmmh! Mpigania Uhuru umekosea.

Ipo hivi, chukua tarehe ya hedhi ya mwisho.LNMP.eg, 20.8.2014......penye tarehe jumlisha 7, kwenye mwezi toa 3, kama mwezi ni chini ya 4, eg mwezi wa 3, 2,1 unajumlisha 3.....so Expected date of derivery EDD. ni 27.5.2014....
 
Mmmh! Mpigania Uhuru umekosea.

Ipo hivi, chukua tarehe ya hedhi ya mwisho.LNMP.eg, 20.8.2013.....penye tarehe jumlisha 7, kwenye mwezi toa 3, kama mwezi ni chini ya 4, eg mwezi wa 3, 2,1 unajumlisha 3.....so Expected date of derivery EDD. ni 27.5.2014......inakupa 40 weeks za ujauzito
 
Note....tarehe ya mwisho ya hedhi ni ile siku ya kwanza kuona damu na sio uliyomaliza
 
Ndugu zangu naomba ushauri je ungonjwa wa taifod upo? Manake ukienda hospitali Kupima una ambiwa una taifod ukikutana na marafiki wanakuambia uongo hio taifod haipo Tanzania sasa ni lipi la ukweli?
 
Pole mama wa C/S ya nne, hayo ni maamuzi magum kwa kuwa naamini ulishauriwa juu kutokuendelea kuzaa. Ila la msingi ni kuwa hizo tarehe huwa ni makisio japo hapo yaonekana kuna mmoja alikosea kidogo kama ulikuwa umewaambia LNMP ya ukweli. Kwa tar iyo ww ungetaraji kuwa umefikia kujifungua tar 15/4/2014. Na mara nyingi wanasema plus or minus 2wks is ok. Kwako ww minus 2wks is better sababu ya historia yako
 
Mimi kama daktari sijaona tatizo kwa wote wawili katika hesabu hizo kuna 25days + or -, kikubwa fanya ya fuatayo. Mosi, andaa vifaa kama ulivyoelekezwa clinic. Pili, zijue dalili za uchungu coz siku ya Mtoto kutoka inafahamika 1,2,3 days before. Tatu, piga ultrasound inapatikana kila wilaya Tanzania ili ujue exactly una mimba ya umri gani na hali ya kiafya ya Mtoto. Suala la operation hasa planned yaweza fanyika any date between hizo 25 days coz Mimba itafikisha 36weeks (9months). Huko uliko sasa shika ya daktari wa huko unless utaonekana unamatabibu wengi upotoshwa au utanyanyapaliwa wodini wakuite anaejifanya.
.......

Asante Asheengai!
 
Last edited by a moderator:
Ipo hivi, chukua tarehe ya hedhi ya mwisho.LNMP.eg, 20.8.2013.....penye tarehe jumlisha 7, kwenye mwezi toa 3, kama mwezi ni chini ya 4, eg mwezi wa 3, 2,1 unajumlisha 3.....so Expected date of derivery EDD. ni 27.5.2014......inakupa 40 weeks za ujauzito

27.05.2014???
 
kama bado hujaanikisha c vema kuendelea kusubiri na hizo scar zako 3, mana waeza anza uchungu au ikawa shughuli nyingine, Mungu akutunze mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom