mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Wakuu habari ya jumamosi,
Nawasalimu wote na naamin mu wazima wa afya. Naomba kuulIza yeyote anayejua mahala kuna studio ya Muzik ambayo gharama zake ni friendly yani kwa upcoming anijulishe tafadhali.
.
Natanguliza asante
Nawasalimu wote na naamin mu wazima wa afya. Naomba kuulIza yeyote anayejua mahala kuna studio ya Muzik ambayo gharama zake ni friendly yani kwa upcoming anijulishe tafadhali.
.
Natanguliza asante