Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,062
- 25,402
jamaniBDO UPO GIZANI NDGU.SOMA BIBLIA ACHANA NA NOVENA.MFATE YESU
jamaniBDO UPO GIZANI NDGU.SOMA BIBLIA ACHANA NA NOVENA.MFATE YESU
Assnte mkuuNakupa hii andika majina ya wote waliokwenye hilo jambo wabaya na wazuri.
Funga siku 5 .hiyo hela ya kula mchana uwe unaihifadhi .
Kila siku weka alarm saa 9 amka sali hivi
1.imba nyimbo ya kumsifu mungu dakika 5 hadi 10
2.fanya toba
3.ombea kwa kuzitaja shida za wengine wawili hasa majirani zako.
4.lirudie jambo lako ukiisoma list ya wote wahusika
5.mshukuru mungu kwa kukujibu maombi.
Siku ya tano mchana au jioni beba hela yako ya lunchi ya siku 5 na unaweza ongezea .nenda kampe mama mjane wa kweli au kanunue sukari peleka kituo yatima .
Napenda kukuhakikishia kwa hizi shida zs sijui kazini sijui kesi mahakaman yaani watu watakuona mchawi ulieshindikana .
NB Muda mzuri ni saa 9 hadi kumi
Itume mkuu.. nilikuwa naitafuta hii.. ni novena nzuri sanaView attachment 2913812
nina Pdf sijui nakutumiaje
nielekeze namna ya kutuma dpf sijaona optiobItume mkuu.. nilikuwa naitafuta hii.. ni novena nzuri sana
1. Nini maana ya dua?Kuna watu wana nia mbaya na maisha yangu. Nataka kusali dua ya Novena ili nipite salama katika jaribu hili.
nielekeze namna ya kutuma dpf sijaona optiob
Kumbuka inaanzia moyoni mwako.... Kama haiko moyoni ni bure.Kuna watu wana nia mbaya na maisha yangu. Nataka kusali dua ya Novena ili nipite salama katika jaribu hili.
MUNGU AWASAIDIE WATOKE HUKO GIZANI.NOVENA NI UPAGANI.NI MAOMBI NA IBADA ZA KIPAGANI HUKO ULAYA ZAMA HZO IKAINGIZWA NDANI YA KANISA.SOMENI BIBLIA MFATENI YESU.NOVENA NI SALA ZA KIPAGANI1. Nini maana ya dua?
2. Nini maana ya novena?
Unaweza ku back up haya madai yako na ushahidi usio na shaka?MUNGU AWASAIDIE WATOKE HUKO GIZANI.NOVENA NI UPAGANI.NI MAOMBI NA IBADA ZA KIPAGANI HUKO ULAYA ZAMA HZO IKAINGIZWA NDANI YA KANISA.SOMENI BIBLIA MFATENI YESU.NOVENA NI SALA ZA KIPAGANI