mabumbe
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 298
- 40
- Thread starter
- #41
Mabumbe mkopo hutolewa kwa mtu au kampuni ambayo inajulikana kwa mkopeshaji. Nenda kwenye vyombo vya fedha ili waangalie business plan na viability of your project. Dhamana uliyotoa kibenki haipokeleki kwani haiuziki (not enforciable). Ni muhimu kufahamu kuwa benki zingi hazitoi fedha kwa start-up (miradi inayoanza ambayo haina historia)
asante,, lakn mkuu mm nataka kwa m2 binafsi coz cna kazi,,,