Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
hata mimi nataka
dhamana yako nini....?
hata mimi nataka
pole mkuu kama una dhamana nenda kwenye taasisi za mikopo na baadhi ya mabenki yenye riba nafuu unaweza kupata mkopo. Humu JF utapoteza muda wako tu kila mtu anajifanya mjuaji na analeta kejeli na maneno ya kukuvunja moyo
Mtu anaeomba 3M casually namna hii lazma anatumia iPad3 na iPhone4Snilisikia mil 3 ukituma kwa m-pesa simu kama sio ipad, galaxy au blackberry haiingii....fanya uhakiki wa simu plz....pesa isijepotea......
nipo MBEZI MWISHO,, KUREJESHA BAADA YA MWAKA,, DHAMANA VYETI,, BIASHARA YA DUKA-STATIONARY ie simu, Uwakala wa Tigopesa na M-pesa etc,.,, NITAFANYIA KIBAHA, tuwasiliane kwa, mabmbe@yahoo.com
dhamana yako nini....?
Mtu anaeomba 3M casually namna hii lazma anatumia iPad3 na iPhone4S
kuna Siku nilipigiwa simu 'King', nahitaji loan ya Tshs 20M by Monday'
nikasema Kama naonekana wa hivyo, basi kuogea revola kunalipa sana.
dhamana yako nini....?
Nimekuambia utoe namba nikuandamizie Kwenye iPhone yako mkuuMkuu vp mbona hunipi direction kwamba nikupate wapi.?
Mkuu vp mbona hunipi direction kwamba nikupate wapi.?
wakuu habarini za kazi,,,
naomba kama kuna mtu anaweza kunikopesha 3mil tuwasiliane nataka niazishe biashara ndogo dhamana nitaweka,,,,
amua wewe
Nenda bungeni!