Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,628
Nimetafakari sana na kuwakumbuka mashahidi wa Uganda kile kipindi cha Kabaka Mwaga kwa Wakristu Wakatoliki nikaona huyu mtu japo si Mkatoliki lakini ana uhusiano wa kimaono na misimamo.
Ieleweke sijawahi kuwa KKKT na sitegemei lakini kuna haja ya kumpa ujasiri zaidi kwa kumwambia Asante. Hakuna asie fahamu mambo yaliyoko huko nyumbani
Ieleweke sijawahi kuwa KKKT na sitegemei lakini kuna haja ya kumpa ujasiri zaidi kwa kumwambia Asante. Hakuna asie fahamu mambo yaliyoko huko nyumbani