Halafu mimi siwajui hao watu maana huwa sitaki hata kufuatilia habari za serikali hii huwa zinaniharibia siku, so nachaguwa kufanya mambo mengine.
Ila huyo aliyekaa hapo ni nani? Kwa mtizamo tu, ni kama anampa umbea flani. Sasa ukizingatia haya mauwaji na utekaji, halafu ukicheki hilo jamaa sijui ndo chawa, lime relax tu nadhani linamwaga umbea tu.
Lichawa linene kabisa. Limeshiba pesa zetu za kodi. Ambazo wao wanasema ni asali ya mama.
Hili naona liko kwenye mzinga wa mama kabisa limevimbiwa.🙌🏾🤦🏾♂️