Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
- Thread starter
- #21
Kwa nini unasema hivyo mkuu..mbona TAKUKURU na CAG vyote ni vyombo vya serikali ya CCM, unadhani kungekua na watu wa vyama vingine kwenye hizo taasis..usingeona difference/ tija??,Mada yako ni sawa na kusema iwepo TAKUKURU na CAG, Kuna lolote jipya unaliona kwenye hizo taasisi? Bc ndivyo itakavyokuwa ikiwa hii mada itafanyiwa kazi.