Wakuu hivi haiwezekani....?

Wakuu hivi haiwezekani....?

Mada yako ni sawa na kusema iwepo TAKUKURU na CAG, Kuna lolote jipya unaliona kwenye hizo taasisi? Bc ndivyo itakavyokuwa ikiwa hii mada itafanyiwa kazi.
Kwa nini unasema hivyo mkuu..mbona TAKUKURU na CAG vyote ni vyombo vya serikali ya CCM, unadhani kungekua na watu wa vyama vingine kwenye hizo taasis..usingeona difference/ tija??,
 
Kwa nini unasema hivyo mkuu..mbona TAKUKURU na CAG vyote ni vyombo vya serikali ya CCM, unadhani kungekua na watu wa vyama vingine kwenye hizo taasis..usingeona difference/ tija??,
Hata hayo uliyosema kwenye mada c vitakuwa chini ya serikali ya ccm, kwahy bado tunarudi pale pale
 
Back
Top Bottom