Wakuu hivi haiwezekani....?

Wakuu hivi haiwezekani....?

Anita Makirita

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
1,409
Reaction score
2,254
Kuwe na independent body itakayosimamia malalamiko ya kiuwajibikaji ya serikali pamoja na upinzani.....?!

Kama ICC/ UN vile ambapo member state/ parties wanaweza kupeleka malalamiko yao yakachunguzwa, decision ikawa made, na penalty /hukumu kutolewa.....??

Kiwe na representatives wa all parties..?!!

Naongea hivi sababu nimesikitishwa na wakina Heche/Hilda kuwa harassed vile na kupigwa na police wa serikali ya CCM..

Worse, ninkuona hakuna chochote watakachofanywa waliowatendea vile, hamna sehemu ya ku report sababu hakuna faith in judiciary system wala police kwa wapinzani...

Hii inatoa loophole kwa serikali kufanya inavyotaka...

Na itaendelea kufanya inavyotaka unless kuwe na chombo kitakachowafanya wawe accountable/responsible.....

Tumeshuhudia "pattern" ya kunyanyasa wapinzani wasi exercise rights zao kama free citizens in their country...

Mfano maandamano wapinzani wakitaka kuandamana , itaanza kwa mkuu wa police amesikia " fununu" kuna wanaotaka kufanya vurugu..., itakuja " intimidation " ...' tutakuwepo kudeal na watu wanaotaka kuvunja amani ya nchi yetu' na saa nyingine mpaka rais anakuwa involved kuwa yuko " concerned" na amani ya nchi yetu zaidi...

Hii pattern imekuwa inajirudia kila wakisikia kuna maandamano, na imekuwa na " impact".. wanachadema sasa hivi tumebaki kusemea mitandaoni, tunakuwa too intimidated kuandamana...Mbowe alijikuta na mwanae na wanachadema wachache kwenye maandamano na kesi ya lissu imekuwa hivyo hivyo watu wachache ndio walikuja....wengine wanaepuka shari...

Huu ni unyanyasaji, as hakuna evidence Chadema ilipofanya maandamano kulikuwa na uvunjifu wa amani...mseme mwaka gani hapa...?!

Kuwe na chombo kitachofanya kazi in openness, justice and fairness...specific kwa wote upinzani na serikali ili wote wawe na sauti ya kureport chama kingine kwa injustice...

Hii kazi ingefanywa na mahakama au police wetu lakini wao ndio wa kwanza kunyanyasa upinzani...hatuna faith kwao anymore...tuwe na direct chombo SPECIFIC..

Vipi haiwezekani kuwe na chombo kama hiki wakuu??? Heche na wenzio demand tuwe nacho bwana...

Anita.
 
Kuwe na independent body itakayosimamia malalamiko ya kiuwajibikaji ya serikali pamoja na upinzani.....?!

Kama ICC/ UN vile ambapo member state/ parties wanaweza kupeleka malalamiko yao yakachunguzwa, decision ikawa made, na penalty /hukumu kutolewa.....??

Kiwe na representatives wa all parties..?!!

Naongea hivi sababu nimesikitishwa na wakina Heche/Hilda kuwa harassed vile na kupigwa na police wa serikali ya CCM..

Worse, ninkuona hakuna chochote watakachofanywa waliowatendea vile, hamna sehemu ya ku report sababu hakuna faith in judiciary system wala police kwa wapinzani...

Hii inatoa loophole kwa serikali kufanya inavyotaka...

Na itaendelea kufanya inavyotaka unless kuwe na chombo kitakachowafanya wawe countable/responsible.....

Tumeshuhudia "pattern" ya kunyanyasa wapinzani wasi exercise rights zao kama free citizens in their country...

Mfano maandamano wapinzani wakitaka kuandamana , itaanza kwa mkuu wa police amesikia " fununu" kuna wanaotaka kufanya vurugu..., itakuja " intimidation " ...' tutakuwepo kudeal na watu wanaotaka kuvunja amani ya nchi yetu' na saa nyingine mpaka rais anakuwa involved kuwa yuko " concerned" na amani ya nchi yetu zaidi...

Hii pattern imekuwa inajirudia kila wakisikia kuna maandamano, na imekuwa na " impact".. wanachadema sasa hivi tumebaki kusemea mitandaoni, tunakuwa too intimidated kuandamana...Mbowe alijikuta na mwanae na wanachadema wachache kwenye maandamano na kesi ya lissu imekuwa hivyo hivyo watu wachache ndio walikuja....wengine wanaepuka shari...

Huu ni unyanyasaji, as hakuna evidence Chadema ilipofanya maandamano kulikuwa na uvunjifu wa amani...mseme mwaka gani hapa...?!

Kuwe na chombo kitachofanya kazi in openness, justice and fairness...specific kwa wote upinzani na serikali ili wote wawe na sauti ya kureport chama kingine kwa injustice...

Hii kazi ingefanywa na mahakama au police wetu lakini wao ndio wa kwanza kunyanyasa upinzani...hatuna faith kwao anymore...tuwe na direct chombo SPECIFIC..

Vipi haiwezekani kuwe na chombo kama hiki wakuu??? Heche na wenzio demand tuwe nacho bwana...

Anita.
NO CONSTITUTION, NO REFOR, NO ELECTION. NO CHANGES
 
Mada yako ni sawa na kusema iwepo TAKUKURU na CAG, Kuna lolote jipya unaliona kwenye hizo taasisi? Bc ndivyo itakavyokuwa ikiwa hii mada itafanyiwa kazi.
 
Kuwe na independent body itakayosimamia malalamiko ya kiuwajibikaji ya serikali pamoja na upinzani.....?!

Kama ICC/ UN vile ambapo member state/ parties wanaweza kupeleka malalamiko yao yakachunguzwa, decision ikawa made, na penalty /hukumu kutolewa.....??

Kiwe na representatives wa all parties..?!!

Naongea hivi sababu nimesikitishwa na wakina Heche/Hilda kuwa harassed vile na kupigwa na police wa serikali ya CCM..

Worse, ninkuona hakuna chochote watakachofanywa waliowatendea vile, hamna sehemu ya ku report sababu hakuna faith in judiciary system wala police kwa wapinzani...

Hii inatoa loophole kwa serikali kufanya inavyotaka...

Na itaendelea kufanya inavyotaka unless kuwe na chombo kitakachowafanya wawe countable/responsible.....

Tumeshuhudia "pattern" ya kunyanyasa wapinzani wasi exercise rights zao kama free citizens in their country...

Mfano maandamano wapinzani wakitaka kuandamana , itaanza kwa mkuu wa police amesikia " fununu" kuna wanaotaka kufanya vurugu..., itakuja " intimidation " ...' tutakuwepo kudeal na watu wanaotaka kuvunja amani ya nchi yetu' na saa nyingine mpaka rais anakuwa involved kuwa yuko " concerned" na amani ya nchi yetu zaidi...

Hii pattern imekuwa inajirudia kila wakisikia kuna maandamano, na imekuwa na " impact".. wanachadema sasa hivi tumebaki kusemea mitandaoni, tunakuwa too intimidated kuandamana...Mbowe alijikuta na mwanae na wanachadema wachache kwenye maandamano na kesi ya lissu imekuwa hivyo hivyo watu wachache ndio walikuja....wengine wanaepuka shari...

Huu ni unyanyasaji, as hakuna evidence Chadema ilipofanya maandamano kulikuwa na uvunjifu wa amani...mseme mwaka gani hapa...?!

Kuwe na chombo kitachofanya kazi in openness, justice and fairness...specific kwa wote upinzani na serikali ili wote wawe na sauti ya kureport chama kingine kwa injustice...

Hii kazi ingefanywa na mahakama au police wetu lakini wao ndio wa kwanza kunyanyasa upinzani...hatuna faith kwao anymore...tuwe na direct chombo SPECIFIC..

Vipi haiwezekani kuwe na chombo kama hiki wakuu??? Heche na wenzio demand tuwe nacho bwana...

Anita.
Inasikitisha kwakweli..
 
Kuwe na independent body itakayosimamia malalamiko ya kiuwajibikaji ya serikali pamoja na upinzani.....?!

Kama ICC/ UN vile ambapo member state/ parties wanaweza kupeleka malalamiko yao yakachunguzwa, decision ikawa made, na penalty /hukumu kutolewa.....??

Kiwe na representatives wa all parties..?!!

Naongea hivi sababu nimesikitishwa na wakina Heche/Hilda kuwa harassed vile na kupigwa na police wa serikali ya CCM..

Worse, ninkuona hakuna chochote watakachofanywa waliowatendea vile, hamna sehemu ya ku report sababu hakuna faith in judiciary system wala police kwa wapinzani...

Hii inatoa loophole kwa serikali kufanya inavyotaka...

Na itaendelea kufanya inavyotaka unless kuwe na chombo kitakachowafanya wawe countable/responsible.....

Tumeshuhudia "pattern" ya kunyanyasa wapinzani wasi exercise rights zao kama free citizens in their country...

Mfano maandamano wapinzani wakitaka kuandamana , itaanza kwa mkuu wa police amesikia " fununu" kuna wanaotaka kufanya vurugu..., itakuja " intimidation " ...' tutakuwepo kudeal na watu wanaotaka kuvunja amani ya nchi yetu' na saa nyingine mpaka rais anakuwa involved kuwa yuko " concerned" na amani ya nchi yetu zaidi...

Hii pattern imekuwa inajirudia kila wakisikia kuna maandamano, na imekuwa na " impact".. wanachadema sasa hivi tumebaki kusemea mitandaoni, tunakuwa too intimidated kuandamana...Mbowe alijikuta na mwanae na wanachadema wachache kwenye maandamano na kesi ya lissu imekuwa hivyo hivyo watu wachache ndio walikuja....wengine wanaepuka shari...

Huu ni unyanyasaji, as hakuna evidence Chadema ilipofanya maandamano kulikuwa na uvunjifu wa amani...mseme mwaka gani hapa...?!

Kuwe na chombo kitachofanya kazi in openness, justice and fairness...specific kwa wote upinzani na serikali ili wote wawe na sauti ya kureport chama kingine kwa injustice...

Hii kazi ingefanywa na mahakama au police wetu lakini wao ndio wa kwanza kunyanyasa upinzani...hatuna faith kwao anymore...tuwe na direct chombo SPECIFIC..

Vipi haiwezekani kuwe na chombo kama hiki wakuu??? Heche na wenzio demand tuwe nacho bwana...

Anita.
Je wenye BOT wako tayari?
 
Kuna kimoja tayari kipo, yaani MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, ambaye ndiyo mlezi wa vyama vyote.

Kinadharia, hiki chombo kinatakiwa kuwa neutral, ila ndiyo wale wale, machawa!
Ili mtu awe neural sio jina.

Neutrality inatokana na
1. Anapataje hiyo nafasi
2. Nani anamlipa mshahara
3. Nyezo za kufanyia kazi anazipata kwa nani?
4. Anapotezaje nafasi yake
5.Sheria zilizounda hiyo nafasi yake zikoje, zina lengo gani?
 
Haiwezekani kabisa!!

Haiwezekani kwa sababu ccm watakataa! Watakuja na theory zao zile oooh sisi ni nchi huru hatutaki mtu mwingine aje aingilie mambo yetu ya ndani!
 
hizo unazoziita body huru hazina meno kwa baadhi ya mataifa mfano drc, sudan kusini, palestine watu wanauliwa bila hatia na hakuna anayewapambania.
 
Haiwezekani kabisa!!

Haiwezekani kwa sababu ccm watakataa! Watakuja na theory zao zile oooh sisi ni nchi huru hatutaki mtu mwingine aje aingilie mambo yetu ya ndani!
Sijui nimekuelewa? Sio kureport nje ya nchi mkuu...ndani Tanzania, chombo kinaendeshwa na watanzania, sema ni wa vyama tofauti...au ushirikiano kutakua hakuna? Chaos
 
Back
Top Bottom