Kila kitu ni mazoea ujue bestKwetu sisi kawaida labda sabab ya setting pia kuitwa chief kuita mtu chief ni rahisi na vizuri zaid tunatumia prefix za professional basi haina shida
SureKila kitu ni mazoea ujue best
😊😊 toast darasa wengine waelewe. JF ni sehemu ya kujifunzaHivi kumbe ninamaneno makali ee🤪🤪
Hapana sitoandika.ni vitu vya umuhimu nikiandika hapa maswali yatakuwa mengi na mimi sipo tayari kujibu swali lolote🤓
'Incompetent' utawajua tuMtu akiitwa mama , wewe inakuuma nini au na wewe unataka kuitwa mama ?