July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 794
ni external ya 500gb. Ndani ilikuwa na vitu but now nikiweka haina inachoonesha,yaani contents zake hazionekani na nikiingia properties inaonesha kuwa ina vitu kwa ndani. Tatizo lilianza nilipoipachka kwa pc ya mtu hakuwa na antivirus.je kuna soln nyingine tofauti na kuformat? Asante