BETWEL JACKSON
Senior Member
- Sep 19, 2015
- 117
- 7
Ingawa bado wanaendelea ku-process,mikopo tayari&baadhi wamexajua.
msaada s1075/0140/2008
hafunguki
Nimeandikiwa hivi jamani ,ndo nimekosa mkopo ama???
Haha da enzi zetu unaandikiwa budget exhausted. ...
ilikuaga noma
nimeandikiwa hivi jamani ,ndo nimekosa mkopo ama???
mkuu umeingia vp wewe?
asanteSi kama unavyoingia kila Siku, nimelogin kwenye olas