Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

wakuu nipeni maujanja nami nipate kujua kama nimepata au la! maana sijui chochote kuhusu olas ila mkopo niliomba.
 
Wakati wa kuomba mkopo kuna account tulifungua : OLAS ndiyo hiyo tuliyotumia kuomba mkopo.
Kwani wewe uliombaje mkopo.?
Pafuada
 

Attachments

  • 1446276751265.jpg
    1446276751265.jpg
    27.4 KB · Views: 474
dah!!!! mwenzenu nimekesha nikiangalia kwenye PC sijafanikiwa kabhisa.... nikahisi labda network getto kwangu ndo inazingua, ila nimekuja tena hapa internet cafe bado hali ni hile... wenzangu nyie mumefanyaje????
 
dah!!!! mwenzenu nimekesha nikiangalia kwenye PC sijafanikiwa kabhisa.... nikahisi labda network getto kwangu ndo inazingua, ila nimekuja tena hapa internet cafe bado hali ni hile... wenzangu nyie mumefanyaje????

punguza munkari server zikitulia utacheki tu
 
Back
Top Bottom