kimsboy JF-Expert Member Oct 17, 2016 8,992 17,892 Aug 19, 2023 #1 Wakuu....Tofauti ya Wakurya na Wajita ni ipi mbona kama wanafanana tu? Hata ukaazi wao wengi wanapenda kuishi ukonga banana kivule na Kitunda Au tofauti na kilugha? Vipi kabila la Wakwaya?
Wakuu....Tofauti ya Wakurya na Wajita ni ipi mbona kama wanafanana tu? Hata ukaazi wao wengi wanapenda kuishi ukonga banana kivule na Kitunda Au tofauti na kilugha? Vipi kabila la Wakwaya?