Hasa wakurya wameanza tabia za kigoma
Walimu wamelalamika sana kulogwa na kina mwita, chacha na marwa, hebu sikia, yan.mchawi anakula mpaka samaki ndani ya Nyumba za watu,
Mke wa mkuu wa shule amelogwa kazaa parachichi na chupa ya coca,
Chakula cha walimu kinaliwa na wasiojulikana usiku,