Watanzania tuelewe kuwa syndicate ya kula fedha za umma inaanzia kwa rais,mawaziri,makatibu wakuu,wahasibu kwenda kwa Halmashauri za miji.
Mambo yanaenda hivi: wakubwa kuanzia mkuu mwenyewe haibi fedha kwa mikono na miradi yao. Wanachofanya kupitia TAMISEMI serikali hutoa mafungu Hazina kwenda katika Halimashauri za Miji na Wilaya. Huko wakurugenzi na wahasibu wamepangwa kuzitumia fedha hizo kwa miradi hewa au ambayo iko chini ya kiwango. Kwa hiyo fedha iliyopatikana hugawana na wakubwa hao.
Nina mjua mtu ambaye ninamfahamu. Yeye ni mhasibu wa Elimu katika halimashauri fulani. Anasema kila mwaka wa fedha unapoisha wanapaswa kuhakikisha kwamba kuna mamilioni ya fedha ambayo hayajatumika kabisa. mathalan,mwaka wa fedha wa 2009-2010 idara yake ilibakiwa na milioni 800. Fedha hizi ziliandikiwa cheque tatu na Mkurugenzi kwa miradi isiyokuwepo. Zikaliwa na wakubwa Wizarani na nyumba ya mkuu wa kaya.
Kwa hiyo, basi sio rahisi leo kumfukuza kazi mkurugenzi mbadhilifu ila huwa ni kumhamisha kazi; na ndio maana pia nafasi hiyo huwa sio ya kuombwa ila niya kuteuliwa.
Na vita ya mh. Mrema wa TLP haipati support toka ngazi za juu. Ataishia kupiga kelele za "Mbwa Kamata wezi wale! naye mbwa ni yule asiye na meno nadhani ni jibwa koko.
KATIBA MPYA LAZIMA IKATE MIKONO YA WAKUU WA KAYA KUCHOTA MAFWEZA YETU, Watanganyika Tuamkeeee!
Mambo yanaenda hivi: wakubwa kuanzia mkuu mwenyewe haibi fedha kwa mikono na miradi yao. Wanachofanya kupitia TAMISEMI serikali hutoa mafungu Hazina kwenda katika Halimashauri za Miji na Wilaya. Huko wakurugenzi na wahasibu wamepangwa kuzitumia fedha hizo kwa miradi hewa au ambayo iko chini ya kiwango. Kwa hiyo fedha iliyopatikana hugawana na wakubwa hao.
Nina mjua mtu ambaye ninamfahamu. Yeye ni mhasibu wa Elimu katika halimashauri fulani. Anasema kila mwaka wa fedha unapoisha wanapaswa kuhakikisha kwamba kuna mamilioni ya fedha ambayo hayajatumika kabisa. mathalan,mwaka wa fedha wa 2009-2010 idara yake ilibakiwa na milioni 800. Fedha hizi ziliandikiwa cheque tatu na Mkurugenzi kwa miradi isiyokuwepo. Zikaliwa na wakubwa Wizarani na nyumba ya mkuu wa kaya.
Kwa hiyo, basi sio rahisi leo kumfukuza kazi mkurugenzi mbadhilifu ila huwa ni kumhamisha kazi; na ndio maana pia nafasi hiyo huwa sio ya kuombwa ila niya kuteuliwa.
Na vita ya mh. Mrema wa TLP haipati support toka ngazi za juu. Ataishia kupiga kelele za "Mbwa Kamata wezi wale! naye mbwa ni yule asiye na meno nadhani ni jibwa koko.
KATIBA MPYA LAZIMA IKATE MIKONO YA WAKUU WA KAYA KUCHOTA MAFWEZA YETU, Watanganyika Tuamkeeee!